Tia maji tu naoSpain wako Asia kwani?
Namaanisha uchezaji waoHizo ni rank za hivi karibuni kabisa.
Huwezi ukawa na timu inayotegemewa kuchukua ubingwa wa dunia na huku unasare na Cape verdeSpain wako Asia kwani?
Mmh sidhani, maana wanashambuliwa aiseeIran watashikilia bomba hadi mwisho kweli?
Si nimesikia uholanzi wameweka rekodiUlaya timu ni tatu tu,
Germany
England
Frence
Kuna uwezekano wakafauluIran watashikilia bomba hadi mwisho kweli?
WanawezaIran watashikilia bomba hadi mwisho kweli?
We jamaa bhana!!Huwezi ukawa na timu inayotegemewa k7chukua ubingwa wa dunia na huku unasare na Cape verde
Mashabiki wa Pessi sijui kwanini huwa mnapenda kuongea mambo bila data
Kaangalie ranking za League bora utaona MLS anayochezea huyo Dwarf imezidiwa na SPL ya the real GOAT achana na FIFA Princess.
MLS intensity yake haijatofautiana sana na NBC
Hawa huu mwaka hawafiki mbali mechi iliyopita waliponea chupuchupuKama hilo shambulio la dakika ya 58 limegoma kuwa goli, ni wapi Belgium wanaweza kutazamiwa kupata goli?
Kwan uongo mwanetu..?We jamaa bhana!!
😂😂😂😂