Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,386
- 110,090
Kocha siku ile alichemka kwenye mawinga afu pia kipa wa cape Verde alikua kwenye kiwango boraNaona Leo Spain wamajipatia mbovu wao.
Kocha siku ile alichemka kwenye mawinga afu pia kipa wa cape Verde alikua kwenye kiwango boraNaona Leo Spain wamajipatia mbovu wao.
Hata wewe ukipewa watoto wa Madrassa lazima utashineScars kwenye ubora wake. Cry harder. Umemuona kwanza mrithi wa mesi anavyowakanda huko...View attachment 3612601
Hao ni watoto wa Madrassa niliwaona kwenye sherehe za MaulidiWaarabu wana defend kama wametoka jando
Ndio hapo najiuliza mambo ya mpira wameanza lini.Wacheze World Cup?
Hatari. ..Waarabu wana defend kama wametoka jando
Hua mna shida gani mashabiki wa Ronaldo??Ndio hapo najiuliza mambo ya mpira wameanza lini.
Na by the way Qatar na Saud Arabia ni shabiki namba moja wa Argentina kuliko Argentina wenyewe.
Na kama ilivyo ada, aliyekuwa shabiki wa Argentina ni lazima awe shabiki wa Spain.
So do your maths
Walishindwa kufuzu..Cameroon na Nigeria ilikuaje wakabaki akaenda kibonde tunisia
Wamemnyima hat trick ya bure...Lamine Out.
Kijana bado hajawa fiti enough