FIFA Princess kafunga hattrick dhidi ya timu ambayo ni ya 28 kwenye rank za FIFA.
The real GOAT alifunga hattrick dhidi ya Spain ambayo ni ya 2 kwenye ranking za FIFA.
Ronaldo anachukiwa na FIFA na sasa hadi na wachezaji wenzake.
Bruno ambaye pale OT wachezaji wote walikuwa wakicheza kwa ajili yake kumtengenezea rekodi ya assist, leo anarudisha mpira nyuma??
View attachment 3612531
Argentina inacheza kwa ajili ya Pessi ona anavyo starehe uwanjani, wanafanya kila kitu hadi Pessi afunge.
View attachment 3612533
Lakini Portugal wako pale kumdidimiza GOAT.
View attachment 3612539
Yule Malaya wa Joa Neves anasema GOAT ni mbinafsi na minions wa Pessi mmechotwa na kauli hiyo. That's shame
Hizi ni sehemu ambazo alikuwa na 100% za kufunga lakini alitoa assist. Na li Bruno lipo hapo na mimeno yake kama Panya.
View attachment 3612532
Fifa nao wanamchukia Ronaldo
Imagine kwenye poster ya FIFA ya kombe la dunia la mwaka huu, katika kila nchi amewekwa staa mkubwa aliyefanya makubwa kwenye hiyo nchi katika viwango vya juu lakini ilipofika kwa Portugal hawakumuweka Ronaldo.
Kwa mujibu wa FIFA Bruno ndio staa na icon ya Portugal na sio Ronaldo
View attachment 3612540
Nasubiria Ronaldo astaafu nianze kuichukia hii timu