2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Unamtetea Sana Ronaldo lakini Ronaldo sio mpambanaji uwanjani kama Messi,yaani ukitaka uamini nachokwambia just wait and see
Mafuta yatazidi kujitenga na maji,huyu Jamaa sio Wa kumlinganisha na Messi
Japo tunaheshimu uwezo wake,
Hata Ballon d'Or za Messi mlisema za kupewa.
Mtu anayejibu hivi ni eidha hajasoma na kuangalia attachments nilizoweka au aumefanya hivyo vyote ila kwasababu ni wa upande wa pili anaamua kujibu hivi.

Niambie hapa Pessi anapambana au anapambaniwa?
 
Hamna mechi hapa

Screenshot_20260621-192631.png
 
FIFA Princess kafunga hattrick dhidi ya timu ambayo ni ya 28 kwenye rank za FIFA.

The real GOAT alifunga hattrick dhidi ya Spain ambayo ni ya 2 kwenye ranking za FIFA.

Ronaldo anachukiwa na FIFA na sasa hadi na wachezaji wenzake.

Bruno ambaye pale OT wachezaji wote walikuwa wakicheza kwa ajili yake kumtengenezea rekodi ya assist, leo anarudisha mpira nyuma??

View attachment 3612531

Argentina inacheza kwa ajili ya Pessi ona anavyo starehe uwanjani, wanafanya kila kitu hadi Pessi afunge.
View attachment 3612533
Lakini Portugal wako pale kumdidimiza GOAT.
View attachment 3612539
Yule Malaya wa Joa Neves anasema GOAT ni mbinafsi na minions wa Pessi mmechotwa na kauli hiyo. That's shame

Hizi ni sehemu ambazo alikuwa na 100% za kufunga lakini alitoa assist. Na li Bruno lipo hapo na mimeno yake kama Panya.
View attachment 3612532

Fifa nao wanamchukia Ronaldo

Imagine kwenye poster ya FIFA ya kombe la dunia la mwaka huu, katika kila nchi amewekwa staa mkubwa aliyefanya makubwa kwenye hiyo nchi katika viwango vya juu lakini ilipofika kwa Portugal hawakumuweka Ronaldo.

Kwa mujibu wa FIFA Bruno ndio staa na icon ya Portugal na sio Ronaldo

View attachment 3612540


Nasubiria Ronaldo astaafu nianze kuichukia hii timu
Scars kwenye ubora wake. Cry harder. Umemuona kwanza mrithi wa mesi anavyowakanda huko...
1000052983.jpg
 
Back
Top Bottom