comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,123
- 16,127
Unatongozaje mwanaume tena kipande Cha baba chenye uboo imara, au ndio mnavyofundishwa msikitini.Wewe Mnywa Visungura Mimi sitakubloc hata niwekewe dau kubwa mezani , inabidi niwe naona reply zako ili niwe nakurekebisha na kukutongoza kwenye njia ya sawa ..
Uzuri wewe ni mlevi mstaarabu hautukani watu hovyo na unajitambua ndio maana sikukatii tamaa na nitaendelea kukurekebisha....