Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,393
- 17,768
Team CR7 roho zinawaumaaah. Sasa mtafanyaje? Na mpajwa mafuta ndio hivyo tena.
EHe, uzalendo Algeria?Kuna muda uzalendo hautakiwi.. 😁
Nilihisi tu...mfumo si rafiki 😀😀Tayari
Bora katokaTeam CR7 roho zinawaumaaah. Sasa mtafanyaje? Na mpajwa mafuta ndio hivyo tena.
Wapiga ramli😀😀😀Hahahaaa sisi tuna laana aisee.
Goal la 1 na 3 ni kipengele mnoMessi anaanza kuwatia pressure strikers wote. Kaanza vizuri sana ukiangalia vibaya utasema anafunga magoli rahisi ila wape nafasi hizo hizo wakata viuno wengine uone watakavyopuyanga.
Uzalendo mwingine ni kujiongezea matatizo tuuSi ni Africa?
Siyo 16?Amefikisha goal 17 kama sijakosea😀😀
Alikuwa na 14 huyoSiyo 16?
Ni bahati kubwa sana umepata nafasi ya kumshuhudia MessiDah Messi yako umeitoa kama vile upo upande wa Algeria… nikadhani upo uzalendo kama uran
Hivi zile hesabu za algebra zilitokaga kwao? 😁😁 na na hapa wanashindwa kuzitumia
Taifa Stars?Yaani Afrika hakuna hata timu moja ambayo inaikaribia hata Marekani.
Na hapo unaambiwa mpira wa miguu wala si mchezo maarufu kivile nchini Marekani.
Asante ni 16Siyo 16?
Niliwahi kusema ninawa-support?Kwa hiyo unawakana?
Licha ya Uzalendo hawa Argentina hawapo hata kwenye 10 zangu!!Dah Messi yako umeitoa kama vile upo upande wa Algeria… nikadhani upo uzalendo kama uran
Hivi zile hesabu za algebra zilitokaga kwao? 😁😁 na na hapa wanashindwa kuzitumia