2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Muda wa mahesabu kwa wale wazee wa first half 0.5 over
giphy.gif
 
Hakuna kitu atafanya

Na akijidai kufosi ataambulia aibu

Yanayowakuta wenzake hayakuwa maalumu kwa ajili yao, akiingia yeye ndio utaona nati zitavyokazwa na kuanza kuona bora angekaa benchi.
Mimi ninaamini katika yeye akiingia atafunga au atatoa assist
 
Lamine ikitokea ameumia kwa huu mpira basi Germany na Belgium wanaitandika Spain bila kelele.
Hata bila kuumia sioni Spain kama threat kabisa kwenye hii tournament

Acha kabisa kuwataja hao big fishes. Hawa hawa kina Cape Verde wanaweza kufanya Spain asitoke na point 3

Na hili kosa lilifanyika kwa watu waliokuwa wakii hype Spain na kufanya wapinzani wajipange haswa na kucheza kwa intensity ya juu.
 
Cape Verde wanazingua na kuniangusha shabiki yao
Wanapoteza Mpira kizembe Sana

Kitu cha Kwanza inabidi wafanye juu chini kwenye kumiliki Mpira Kwanza
Then counter attack wanahitaji wachezaji Wenye speed

Hapo wanaweza kupata Sare kama walivyofanya Japan Jana
Ila wakiendelea hivi watapigwa tatu
Nakubaliana na wewe.
 
Back
Top Bottom