2026 FIFA World Cup - Special Thread

Morroco sio waafrika , Africa ni bara la giza na hakuna team yoyote ya Africa itafika mbali
Kumbe Morocco inapatikana bara gani?
Uafrika sio rangi bali ni bara mkuu. Ndio maana hata marekani kuna black wengi tu lakini wanaitwa wamarekani weusi na sio waafrika.
Ukisema Wamoroko sio waafrika inamaana utasema wamisri, Tunisia, Algeria na nchi zingine za northern africa sio waafrika
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yaani hadi hii world cup iishe ntakuwa natembea huku nasinzia....imagine saivi nipo macho na saa mbili kamili asubuhi natakiwa niwe kibaruaniπŸ™Œ
It means, hata nguo huwa unafua usiku kwa usiku πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…