2026 FIFA World Cup - Special Thread

2026 FIFA World Cup - Special Thread

Martinezi kaitwa , Richardson hajaitwa
Cunha anajua kuscore ila kwa mechi hii sidhani, yupo slow na ndio maana hapa Thiago anapata shida...hii game inahitaji kasi sana na maamuzi ya haraka sio kutafuniwa utengewe
Richarlison kama isingekuwa Reactions zake na kukosa nidhamu game ingemfaa sana
 
Hii acrobatic ndio walitupiga wale madogo wa mali under17

Hii semi acrobatic ndio walitupiga wale madogo wa mali under17
Mipira yeyote inayohusu Tanzania sifuatilii

Labda iwe ni tukio lililotikisa mitandaoni kiasi watu wengi wali post ndio naweza kugongana nalo kwenye feeds katika scrolling za hapa na pale.
 
Cunha anajua kuscore ila kwa mechi hii sidhani, yupo slow na ndio maana hapa Thiago anapata shida...hii game inahitaji kasi sana na maamuzi ya haraka sio kutafuniwa utengewe
Richarlison kama isingekuwa Reactions zake na kukosa nidhamu game ingemfaa sana
Utakua arsenal wewe😅
 
Back
Top Bottom