johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,147
Hapo Kigoma mwenye akili ni Zitto Kabwe tu!Acha dharau kijana,kigoma tuna wasomi wengi wenye sifa za kuongoza nchi!
2025 Rais anatoka Kigoma!
Hapo Kigoma mwenye akili ni Zitto Kabwe tu!Acha dharau kijana,kigoma tuna wasomi wengi wenye sifa za kuongoza nchi!
2025 Rais anatoka Kigoma!
Naunga mkono hoja hiiKwa hali ilivyo sasa inabidi Kigoma ipate Rais 2025 walau na huku tukumbukwe.
Maana bila Rais kutokea huku, maendeleo yataendelea kusuasua. Imechukua zaidi ya miaka 10 kwa kipande cha Nyakanazi kuunganishwa na Kakonko,bado Kakonko-Kibondo-Kasulu ili Kahama iwe imeunganishwa na kigoma.
Maji ya uhakika bado ni changamoto. Watu wa Kagera, Rukwa na Kigoma tumeambiwa tutatumia hospitali ya rufaa Chato umbali ukiwa ni mamia ya kilomita.
Sasa nadhani 2025 ni zamu yetu watu wa kigoma kutoa Rais ili na sisi tupae kwa kasi. Kigoma iliahidiwa kuwa Dubai kabla hata ya kusemwa Chato kuwa jiji kama Wuhan.
Watu wa kusini inabidi tuingie makubaliano, mtuunge mkono 2025 na sisi tutawaunga mkono 2035. Bila hivyo tutaendelea kuyasikia kwenye Bomba hayo maendeleo ya kweli.
Inamaana hata Prof Mpango ni zero brain?Hapo Kigoma mwenye akili ni Zitto Kabwe tu!
Hahahaaaa.......Zitto Kabwe ni akili kubwa!Inamaana hata Prof Mpango ni zero brain?
Hujajibu swali!Hahahaaaa.......Zitto Kabwe ni akili kubwa!
Ndo furaha yake nchi iwe ktk misingi hii.Dah JIWE ameshaingiza nchi kwenye ukabila na ukanda.
Dodoma na Singida vinabebwa na jiografia kwani huwezi kutoka Dar to Mwanza bila kupitia mikoa hiyo au Arusha to Mwanza.Ni kweli aisee huko wamewaonea sana. Sioni Dodoma inaizidi nini kigoma kwa rasilimali
Hoja za kipuuzi na kikabila na kikandaKwa hali ilivyo sasa inabidi Kigoma ipate Rais 2025 walau na huku tukumbukwe.
Maana bila Rais kutokea huku, maendeleo yataendelea kusuasua. Imechukua zaidi ya miaka 10 kwa kipande cha Nyakanazi kuunganishwa na Kakonko, bado Kakonko-Kibondo-Kasulu ili Kahama iwe imeunganishwa na kigoma.
Maji ya uhakika bado ni changamoto. Watu wa Kagera, Rukwa na Kigoma tumeambiwa tutatumia hospitali ya rufaa Chato umbali ukiwa ni mamia ya kilomita.
Sasa nadhani 2025 ni zamu yetu watu wa kigoma kutoa Rais ili na sisi tupae kwa kasi. Kigoma iliahidiwa kuwa Dubai kabla hata ya kusemwa Chato kuwa jiji kama Wuhan.
Watu wa kusini inabidi tuingie makubaliano, mtuunge mkono 2025 na sisi tutawaunga mkono 2035. Bila hivyo tutaendelea kuyasikia kwenye Bomba hayo maendeleo ya kweli.
We huoni Chato walivyojaziwa mamiradi ya maendeleo hata yasiyohitajika kwa mazingira ya sasa!Si vibaya na yeye akataka Rais awe wa kutoka kwao ili nao wapate mamiradi ya upendeleo!Hoja za kipuuzi na kikabila na kikanda
It's not about rais atoke wapi.... It is about rais aweje
Nalaabuk
Mleta hoja yuko sahihiWe huoni Chato walivyojaziwa mamiradi ya maendeleo hata yasiyohitajika kwa mazingira ya sasa!Si vibaya na yeye akataka Rais awe wa kutoka kwao ili nao wapate mamiradi ya upendeleo!
Duuu umeandija kwa uchungu sana,,, Jambo la msingi ni kwamba kigoma ikumbukwe,,,nimepita juzi njia zote kuanzia Tabora Kigoma,,then Kigoma Nyakanazi,,,nilishangaa kiukweliKwa hali ilivyo sasa inabidi Kigoma ipate Rais 2025 walau na huku tukumbukwe.
Maana bila Rais kutokea huku, maendeleo yataendelea kusuasua. Imechukua zaidi ya miaka 10 kwa kipande cha Nyakanazi kuunganishwa na Kakonko, bado Kakonko-Kibondo-Kasulu ili Kahama iwe imeunganishwa na kigoma.
Maji ya uhakika bado ni changamoto. Watu wa Kagera, Rukwa na Kigoma tumeambiwa tutatumia hospitali ya rufaa Chato umbali ukiwa ni mamia ya kilomita.
Sasa nadhani 2025 ni zamu yetu watu wa kigoma kutoa Rais ili na sisi tupae kwa kasi. Kigoma iliahidiwa kuwa Dubai kabla hata ya kusemwa Chato kuwa jiji kama Wuhan.
Watu wa kusini inabidi tuingie makubaliano, mtuunge mkono 2025 na sisi tutawaunga mkono 2035. Bila hivyo tutaendelea kuyasikia kwenye Bomba hayo maendeleo ya kweli.
Kabisa,imeshaonekana kuwa sasa ni wakati kila mtu apambane Rais awe mzawa wa eneo lake ili maendeleo ya haraka yafike!Mleta hoja yuko sahihi
Kwa Chama gani Cha siasa?Mngelimshauri Zitto aache tamaa ya madaraka mngelikuwa pazuri sana.Kwa hali ilivyo sasa inabidi Kigoma ipate Rais 2025 walau na huku tukumbukwe.
Maana bila Rais kutokea huku, maendeleo yataendelea kusuasua. Imechukua zaidi ya miaka 10 kwa kipande cha Nyakanazi kuunganishwa na Kakonko, bado Kakonko-Kibondo-Kasulu ili Kahama iwe imeunganishwa na kigoma.
Maji ya uhakika bado ni changamoto. Watu wa Kagera, Rukwa na Kigoma tumeambiwa tutatumia hospitali ya rufaa Chato umbali ukiwa ni mamia ya kilomita.
Sasa nadhani 2025 ni zamu yetu watu wa kigoma kutoa Rais ili na sisi tupae kwa kasi. Kigoma iliahidiwa kuwa Dubai kabla hata ya kusemwa Chato kuwa jiji kama Wuhan.
Watu wa kusini inabidi tuingie makubaliano, mtuunge mkono 2025 na sisi tutawaunga mkono 2035. Bila hivyo tutaendelea kuyasikia kwenye Bomba hayo maendeleo ya kweli.
Naam, mbuzi flani katufikisha kuwaza hiviKabisa,imeshaonekana kuwa sasa ni wakati kila mtu apambane Rais awe mzawa wa eneo lake ili maendeleo ya haraka yafike!
Hakuna namna,2025 kila kabila na ni kupambania mtu wake!Naam, mbuzi flani katufikisha kuwaza hivi
Ameipsua nchiHakuna namna,2025 kila kabila na ni kupambania mtu wake!
Ubaguzi wa kikabila au kikanda haukubaliki.Tutaangamiza taifa letu.Bora tukomalie katiba mpya inayoendana na umri na mahitaji ya taifa letu.Kwa hali ilivyo sasa inabidi Kigoma ipate Rais 2025 walau na huku tukumbukwe.
Maana bila Rais kutokea huku, maendeleo yataendelea kusuasua. Imechukua zaidi ya miaka 10 kwa kipande cha Nyakanazi kuunganishwa na Kakonko, bado Kakonko-Kibondo-Kasulu ili Kahama iwe imeunganishwa na kigoma.
Maji ya uhakika bado ni changamoto. Watu wa Kagera, Rukwa na Kigoma tumeambiwa tutatumia hospitali ya rufaa Chato umbali ukiwa ni mamia ya kilomita.
Sasa nadhani 2025 ni zamu yetu watu wa kigoma kutoa Rais ili na sisi tupae kwa kasi. Kigoma iliahidiwa kuwa Dubai kabla hata ya kusemwa Chato kuwa jiji kama Wuhan.
Watu wa kusini inabidi tuingie makubaliano, mtuunge mkono 2025 na sisi tutawaunga mkono 2035. Bila hivyo tutaendelea kuyasikia kwenye Bomba hayo maendeleo ya kweli.