johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,140
Maana yake hao unaowajua wewe akili zao zinatosha kwa nafasi walizonazo.Hujajibu swali!
Rais siyo nafasi ya kubahatisha au kujaribisha!
Maana yake hao unaowajua wewe akili zao zinatosha kwa nafasi walizonazo.Hujajibu swali!
Wasomi wa mkoa wa Mara:Mna wasomi kuzidi mkoa wa Mara, utakuwa umevimbewa migebuka mtani wangu. Anyway, nawaunga mkono kwenye hili..
Hawa wote akili zimepindaWasomi wa mkoa wa Mara:
H.Polepole,Kangi Lugola,Cyprian Musiba etc.
Kweli,ni vibaya kumjaribu mtu kwenye urais, nadhani mfano tunauona.Maana yake hao unaowajua wewe akili zao zinatosha kwa nafasi walizonazo.
Rais siyo nafasi ya kubahatisha au kujaribisha!
Kabisa bwashee Tundu Lisu na Robert Amsterdam wangeuza nchi!Kweli,ni vibaya kumjaribu mtu kwenye urais, nadhani mfano tunauona.
kigoma imepakana na rwanda, burundi, congo, uganda yaani palitakiwa pawe bonge moja la mji wa kibiashara, watu wasingekua wanatokanchi hizo kuja dar lakini ndo ivo tenaDodoma na Singida vinabebwa na jiografia kwani huwezi kutoka Dar to Mwanza bila kupitia mikoa hiyo au Arusha to Mwanza.
Kigoma pia inaangushwa na jiografia kwa kuwa pembeni mwa nchi.
Lakini sio vibaya nanyi mpate rais ili ahamishie Madini ya Tanzanite na bahari Kigoma...kwani Chato wanawazidi nini buana hata msiweze?
Mbona huyu mzee kila kitu anavutia kwao siku hizi?Ameshaona mbelee au!!?Kabisa bwashee Tundu Lisu na Robert Amsterdam wangeuza nchi!
Hayo ni matusi kwa wana kigoma!Maana yake hao unaowajua wewe akili zao zinatosha kwa nafasi walizonazo.
Rais siyo nafasi ya kubahatisha au kujaribisha!
Huyo waziri anamjua sana mzee kwenye pesa,hawezi kufanya ujinga huo halafu akapoteza ulaji.Waziri wa fedha anatoka kigoma anashindwa vipi kuifanya kigoma iwe ulaya mbona mramba aliweza endeleza kwao akaweka lami Hadi chooni.
Shida KG ampendani
jumlisha katavi,rukwa na bukoba mpaka taboraNaunga mkono hoja! Watu wa Kigoma wamesahaulika sana!
Ndo furaha yake nchi iwe ktk misingi hii.
Tumekuwa kimya muda mrefu,tunaona kama sisi ni wasindikizaji tu!Sasa 2025 ni zamu yetu watu wa Kigoma!Akitoka huku watu wa Rukwa na Kagera nao watanufaika maana ni majirani zetu!Ubaguzi wa kikabila au kikanda haukubaliki.Tutaangamiza taifa letu.Bora tukomalie katiba mpya inayoendana na umri na mahitaji ya taifa letu.
Mchawi wenu huyu hapa....kilia msimu wa uchaguzi lazima apeleke mtu sokoni kwa vipande ishirini vya fedha!
View attachment 1676194
Kwani huyu wanaedai ni mhutu alipitishwa na nani? hatutaki tabia za ajabu ajabu kwenye nafasi kubwa kama ya urais...tena nyie wa mipakani ni vigumu sana kuwafanyia vetting kujua asili yenu hasa.Sifa zinaeleweka na Tume ya uchaguzi hukagua vielelezo ili kujiridhisha kama masharti na vigezo vimefikiwa!2025 ni zamu yetu wana Kigoma!