Zuckerman
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 1,375
- 2,417
Sio dharau mkuu Ghana leo atapata labda sare sio kuwafunga kina ValvedeHii ni dharau kwa Ghana
Sio dharau mkuu Ghana leo atapata labda sare sio kuwafunga kina ValvedeHii ni dharau kwa Ghana
Uruguay anakufa mchana kweupeHii ni dharau kwa Ghana
Uruguayi chaliSio dharau mkuu Ghana leo atapata labda sare sio kuwafunga kina Valvede
Ngoja tuoneUruguay anakufa mchana kweupe
Mark this tweet
Uruguay hawana lolote mkuu labda Ghana akiingia na mentality ya Draw...;Sio dharau mkuu Ghana leo atapata labda sare sio kuwafunga kina Valvede
Yan ndo nilikua nasema jana kua Ghana waingie na Mentality ya kushinda na kucheza kwa nidhamu sio kila mda unakimbia kimbia bila mipango.Uruguay hawana lolote mkuu labda Ghana akiingia na mentality ya Draw...;
Uruguay anakufa mchana kweupe
Mark this tweet
Kikosi cha leo cha Uruguay sioni Ghana akipata hata sare
Uruguay wa kawaidaHatakama ni uzalendo aisee ghana hata droo hapati tuacheni kujipa matumaini ambayo hayawezekani
Mkuu hata Ghana hawatishiUruguay wa kawaida
japo tukubali timu za waafrica ugonjwa wao huwa ni ule ule wa kufunga goli moja na kupaki basi