Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,234
- 17,826
Naunga mkono hoja. Kama unaungana na mimi nyoosha mkono juu. Kama unashindwa jifanye kama unajikuna.


bado sijaona huyu ama yule... Wote ni walewaleSura ya changarawe
Kijana umepungikiwa adabu kuanza kutukana wakubwa zako
hapa ndio umefika sasa wala usihofu mambo nyari nyaribado sijaona huyu ama yule... Wote ni walewale
Huyu ni mwana Diplomasia bhanaNaunga hoja
Aisee huyu samaki ana share DNA na jiwe?
Waaaaaaaaaaoooooooh mjomba wangu mwenyewe huyoooooooooooo ankooooo jiweeeeeeeeee. Umetokelezeiyaaaaaaaaa kiongozi wa jeshi langu la malaika
Huyu ni mwana Diplomasia bhana
😀😀Chochea kuni tuone huyo Dr wa PhD ya miaka 15 na asiye soma mitandaoni akiepua Maembe...