2020 twende na Membe ama January Makamba?

2020 twende na Membe ama January Makamba?

sijaribiwi mimi, mimi ni jiwe sitingishwi na sitingishiki


tapatalk_1543664469558.jpeg
 
Inaaminika wote wanaoenda kule wanadhoofika kisiasa na heshima zao hushuka puuuuu.

Ni tahadhari tu nimetoa, mifano ipo hai inaishi
 
Chochea kuni tuone huyo Dr wa PhD ya miaka 15 na asiye soma mitandaoni akiepua Maembe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom