Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,863
- 62,390
hizi kampeni Membe zitamtokea puani
"Wenye kujijua", Watamteka au watampoteza?
Haya ndiyo tunayopambana ili yaondoke nchini?
hizi kampeni Membe zitamtokea puani
Tuoneshe ndani ya Katiba wapi imeelezwa kipindi gani mtu ndio anaruhusiwa kutia nia??anaharibiwa na hao ambao wameanza kampeni sana kabla ya muda,hoja kuwa cheo hakina haki miliki,kumbuka kila kitu kipo kwa mujibu wa katiba,sheria,kanuni na utamaduni wa nchi au taasisi fulani
KWELI WASHAMBA WAMEKABIDHIWA NCHI ULIMBUKENI MTUPUAMa kweli Membe atatufaa.
ACACIA lazima waendelee kubeba MAdini yetu.
Atabomoa SGR, IPTL atairudisha., Fly over za nini, Atazuia upanuaji wa barabara ili watu wasibomolewe nyumba zao na wafanye biashara hadi barabarani
Maisha ya madili yatarudi kama zamani.
Mo na Manji kuna watu huku tunatamani mtusaidie kuturudisha TULIKOKUWA!
enzi za wafanyakazi hewa na vyeti feki!
tuondoleeni Ngosha jamani.
Sasa kumbe unalialia nini juu ya wapiga deal?Hivi unategemea maisha mazuri akuletee nani mkuu? Embu niambie toka Awamu ya kwanza hadi hii ya Tano awamu hipi ilikuwa na maisha mazuri? Unategemea huko mbele kutakuwa na maisha mazuri? unategemea huko mbele utakuja kutumia Tsh 500 kwa mlo mmoja wewe na familia yako kama enzi ya Mkapa? SAHAU HILO MJOMBA. Ninapokuambia nyosha kidole sina maana nataka urudi darsani.
Hana uzalendo, mbona amechota til1.5? Huyu ni mwizi kuliko waliotangulia.Jamani tulikuwa tunalia usiku na mchana kuwa tunahitaji rais mkali mzalendo, mwenye maamuzi magumu, mwenye kulinda raslimali za nchi kwa nguvu yoyote ile; tukampata jpm hala mnambeza tena, ' maskini haridhiki' ngoja waje hao tunaowataka nao tuwaone
Washamba ndiyo wanakuongoza jinyonge kama hutaki.KWELI WASHAMBA WAMEKABIDHIWA NCHI ULIMBUKENI MTUPU
Membe ataweka ndani wote waliouza nyumba za serikali Kimagumashi, na kununua kivuko kinachokwenda kwa mwendo wa Kobe.
Atafyekelea mbali walioyeyusha Trilion 1.5, na atawasweka ndani wanaoitia nchi gharama za kurudia chaguzi kwa kuwahonga watu ili waunge mkono Juhudi!.
Membe hatopambana na Mafisadi kwa Maneno matupu yenye Hisia Kali, bali ATAYAKAMATA MAFISADI NA KUYAPELEKA MAHAKAMANI
Kikubwa zaidi Membe atatuletea Katiba mpya kama Ilani ya Uchaguzi ya CCM inavyosema!
Membe hakuwa kwenye baraza la mawaziri la Che'NkapaMwenye uhakika kuwa Membe hakununua nyumba ya serikali kwa bei chee naomba asimame
Membe hakuwa kwenye baraza la mawaziri la Che'Nkapa
Sijakuelewa mkuu kwani nyumba hizo wakati ule waliuziwa mpaka watoto wa shule
Unamaanisha akina Sundi?