Kazi gani unayoitegemea kwa wafanyakazi wasiopanda madaraja na kupewa nyongeza za mishahara kwa miaka 3.Kaza roho hapa kazi tuu!!
Mnachoongea majukwaani na mnachokitekeleza ni vitu viwili tofauti
Kazi gani unayoitegemea kwa wafanyakazi wasiopanda madaraja na kupewa nyongeza za mishahara kwa miaka 3.Kaza roho hapa kazi tuu!!
Hahahaa wewe kweli ni mgeni hapo Ufipa, Salary slip msaidie huyu dogo hivi Sumaye mlimpokea lini hapo Chadema!Nafahamu alijiunga baada ya kumnyima kijiti kugombea urais kwa tiketi ya ccm na kumuweka katika kundi la wasio na nidhamu.
Membe amejiunga lini???
Mkuu ruhusu ubongo wako uwe huru acha Kuwa mtumwa wa fikra