2020 twende na Membe ama January Makamba?

2020 twende na Membe ama January Makamba?

Alipo tupo.....twende na Membe 2020 huyu anayesema yeye alisukumiwa urais apumzike tu kiukweli .....walio karibu na Membe tunaomba mfikishieni salamu kwamba tunamuhitaji sanaa...Kwenye hicho kikao walichomuitia huko Lumumba aende na maiki yake, asile wala kunywa chochote, kiti walichomwandalia asikalie, ni hayo tu
Umemaliza kunywa Shimha?
 
Naona NyumBu upepo umegeukia kwa Membe,
Naweza kusema tuna upinzani wa kijinga sana nchi hii, ni bora jiwe aendelee kula maisha magogoni maana yake hakuna mbadala wake,

Yaani unashabikia mtu usiye na turufu yoyote ya kumpa hayo mamlaka,

Siwalaumu, mnafanya haya ili kuridhisha akili zenu za Serengeti NP.
Tawala milele JPM mpaka akili za nyumbu zirudi.

#Magufuli Forever#
 
Naona NyumBu upepo umegeukia kwa Membe,
Naweza kusema tuna upinzani wa kijinga sana nchi hii, ni bora jiwe aendelee kula maisha magogoni maana yake hakuna mbadala wake,

Yaani unashabikia mtu usiye na turufu yoyote ya kumpa hayo mamlaka,

Siwalaumu, mnafanya haya ili kuridhisha akili zenu za Serengeti NP.
Tawala milele JPM mpaka akili za nyumbu zirudi.

#Magufuli Forever#
Hivi wewe unaona anayeandika humu ni upinzani kutaka kumuangusha John Maharage, membe ndio habar ya mjini, lazima mkubali wote
 
Sidanganyiki, hizi post za BM zinaletwa humu na CCM team Jiwe wenyewe ili kujenga mazingira BM aonekane mchafu na awe deleted.... Ni wajinga tu watakaoamini kuwa hizi threads za twende na BM2020 zinaletwa na teamBM
 
Sidanganyiki, hizi post za BM zinaletwa humu na CCM team Jiwe wenyewe ili kujenga mazingira BM aonekane mchafu na awe deleted.... Ni wajinga tu watakaoamini kuwa hizi threads za twende na BM2020 zinaletwa na teamBM
Unayo yafikiria hayo ni yakwako kutoka kichwani kwako, kwani Bernard Membe hana haki ya kugombea kama mwanachama mwingine, kwanini awe deleted huo ndio u dicteta tunao ukataa eti abaki mwenyewe tu bila pingamizi lol, wewe na nduguyo hamna nia njema na chama chetu, kwamba akipendwa na akiombwa na wapenzi wake agombee akae kimya kisa aogope kuwa deleted, hivi wewe unaijua haki yako ya kikatiba kwenye chama chako? awe deleted kisa kaonyesha nia, je kuonyesha nia ni kosa kwenye chama? we tulia bhana, kula chako unachokula na ukae na uoga wako, kaa ukijua saari ndio imeanza mtakubali tu lazima, kama hamtaki kupingwa kila kitu mnataka iwe ndio hayo ni yakwenu.
 
Naona ebola imekunasa akilini.
Ebola unayo wewe usiyeona nuru na mwanga kwa historia mpya inayokuja. damu zinakuvuja tu kila mahala penye tundu, nenda upate tiba ya kusomewa haki yako ya kikatiba ukielewa utapona fasta.
 
Kila mtu apewe haki yake ya kikatiba kwenye chama chake.
47379674_10205038323594301_6132368315412119552_n.jpg
january.jpg

Sky Eclat
 
Kumbe nabishana na Kubenea! Arrghggghhh! akili ndogo hiyo
Ebola unayo wewe usiyeona nuru na mwanga kwa historia mpya inayokuja. damu zinakuvuja tu kila mahala penye tundu, nenda upate tiba ya kusomewa haki yako ya kikatiba ukielewa utapona fasta.
 
Aiweke iwekee, aiwekee.

Msimsahau mama samia jamani,yule mama mtu poa sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom