2020 twende na Membe ama January Makamba?

2020 twende na Membe ama January Makamba?

Ahaaa haaa haaa
tulisha choka na diplomasia. karibu miaka 20 tuko na demokrasia, lkn hazikutusaidia.
acha tujaribu kitu tofauti.
Membe ndio onjo la sasa hivi mkaribisheni muone lazima mtakubali tu kuwa ndiye aliyetakiwa kuwa
 
October 2020 mkigalagazwa sijui mtasema Nondo for 2025 mabavicha bhana,yanaichukia CCM halafu leo yanasema Benard Membe for 2020 utafikir yapo kwenye kamati kuu!
 
October 2020 mkigalagazwa sijui mtasema Nondo for 2025 mabavicha bhana,yanaichukia CCM halafu leo yanasema Benard Membe for 2020 utafikir yapo kwenye kamati kuu!
Kwani kamati kuu ni ya mtu mmoja au kuna mtu aliyeiweka kamati kuu mfukoni mwake?
 
Kuna haja ya kutofsutisha uzito wa kura. Inakuwaje anayeelewa nasiyeelewa kura zao zahesabika kuwa sawa
 
Alipo tupo.....twende na Membe 2020 huyu anayesema yeye alisukumiwa urais apumzike tu kiukweli .....walio karibu na Membe tunaomba mfikishieni salamu kwamba tunamuhitaji sanaa...Kwenye hicho kikao walichomuitia huko Lumumba aende na maiki yake, asile wala kunywa chochote, kiti walichomwandalia asikalie, ni hayo tu
 
Na huja hojo mkojo! Am sorry na uga ogo mkogo... Ahsante!
 
Alipo tupo.....twende na Membe 2020 huyu anayesema yeye alisukumiwa urais apumzike tu kiukweli .....walio karibu na Membe tunaomba mfikishieni salamu kwamba tunamuhitaji sanaa...Kwenye hicho kikao walichomuitia huko Lumumba aende na maiki yake, asile wala kunywa chochote, kiti walichomwandalia asikalie, ni hayo tu
Hayo maneno ya kweli na ushari mzuri lazima azingatie yote haya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom