2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

Hatimaye debate Kali kati mwanamama Hillary na Gwiji la Biashara Mr Trump umefanyika na kumalizika kwa AMANI.

Mdahalo huu maswali yalitoka kwa waliohudhuria.

Wenzetu wako serious na mambo ya msingi.

Mengi yameulizwa na kujibiwa na wagombea kwa mitazamo tofauti.

Mabishano hayakuwa makali kama mdahalo wa kwanza
 
Haha, at some point Hillary kajisahau kamshangaa anavotanga mpaka kaonekana.

Halafu good to see you, ulipotea.

Lol... yaani huko ni shughuli
Nlipotea pilika na kulea aisee.... kumekucha tuandae totoz waende shule na mie job
 
  • Thanks
Reactions: kui
Sijui Bubba anawaza nini hapo..?

CuXrBh3WAAEvw5r.jpg
 
IMO they both did well on this question, but I wanted Trump to go furtther and mention Chelsea.


I thought he would too...didn't expect him to be this good.
 
Anhaa nme angalizia Russia Today
Warus tunataka Trump ashinde

Asee leo kama sapota wa Trump naona kajitahidi si kama sku ile. Na mwishoni kamaliza vzuri lile swali
Swali la mwisho limetusaidia kujua ni nani mwenye IQ kubwa lol!!.......Unaweza kufikiri Trump alikuwa anajua kuwa ataulizwa hilo swali na akajipanga kumbe wapi!!!
 
Hatimaye debate Kali kati mwanamama Hillary na Gwiji la Biashara Mr Trump umefanyika na kumalizika kwa AMANI.

Mdahalo huu maswali yalitoka kwa waliohudhuria.

Wenzetu wako serious na mambo ya msingi.

Mengi yameulizwa na kujibiwa na wagombea kwa mitazamo tofauti.

Mabishano hayakuwa makali kama mdahalo wa kwanza


Mkuu umeangalia mdahalo gani? Hukuona matope yaliyorushwa mwazo wa mdahalo?
 
Huu mdahalo nimeufurahia.

Ulikuwa bora kuliko ule wa kwanza.

Na kwa maoni yangu, wagombea wote wawili wamefanya vizuri.
 
IMO they both did well on this question, but I wanted Trump to go furtther and mention Chelsea.

...and there was a handshake at the end. 🙂
 
Swali la mwisho limetusaidia kujua ni nani mwenye IQ kubwa lol!!.......Unaweza kufikiri Trump alikuwa anajua kuwa ataulizwa hilo swali na akajipanga kumbe wapi!!!
That was a very good move
Ngoja tusubiri tuone wananchi wata semaje.
Sasa nalala dakika 4 ili niamke saa 12, kamili
 
Sijui Bubba anawaza nini hapo..?

CuXrBh3WAAEvw5r.jpg

Hahahaaaa! Kama kabanwa na mlango.

On the real though Chelsea Clinton really lost out on the looks department, which is weird, maana Bill is a handsome dude, Hillary was also a looker in her day, but I guess shit could be worse, she could be poor too.
 
Hahahaaaa! Kama kabanwa na mlango.

On the real though Chelsea Clinton really lost out on the looks department, which is weird, maana Bill is a handsome dude, Hillary was also a looker in her day, but I guess shit could be worse, she could be poor too.

Yeah..she's not as hot as Ivanka😀.
 
Hahahaaaa! Kama kabanwa na mlango.

On the real though Chelsea Clinton really lost out on the looks department, which is weird, maana Bill is a handsome dude, Hillary was also a looker in her day, but I guess shit could be worse, she could be poor too.
Kuna video nimeiona ya usiku wa uchaguzi wa 94, asee Hillary alikuwa hadi ana churaa ya kutosha tuu
Kweli uzee umemkamata uyu mama ila hakuwa mbaya enzi zake
 
Ila CNN wanaboa sana kwa kweli na ndo maana wamepoteza sana viewership.

Kwao kila kitu ni Breaking News tu.

Hilo li banner lao lipo hapo 24/7.
 
That was a very good move
Ngoja tusubiri tuone wananchi wata semaje.
Sasa nalala dakika 4 ili niamke saa 12, kamili
Mimi kwenye saa kumi na mbili kamili nataka niangalie taarifa ya habari kwenye channel tofauti kabisa kama vile france 24,DW au Aljezeera ili nione mtazamo wao!
 
Huu mdahalo nimeufurahia.

Ulikuwa bora kuliko ule wa kwanza.

Na kwa maoni yangu, wagombea wote wawili wamefanya vizuri.


It started off really nasty at the beginning though. It had to be some of the most contentious exchanges in debate history, albeit it was mainly Trump just throwing all kinds of mud in every direction without really addressing his own questionable comments.
 
No Sir I have a different opinion on Hillary's answer. When someone is saying very positive things about your children, that goes direct to you as a parent. Even Trump states that, "I take this as compliment"

I'm actually surprised of how good an answer he gave, it made Hillary come off a petty for not saying something about Trump directly.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom