Haaa TBC ya USAs per CNN's opinion polls Hillary won for the second time 57% to 34%. GO! Hillary GO!
Haaa TBC ya US
Kaka huwa nakubali sana hoja zako n mitazamo yako kila siku Ila Mdahalo wa leo mama kaburuzwa aiseHao TBC wangekuwa na uhuru wa kuhoji mashetani wa Ikulu kama waliokuwa nao CNN bila ya kuwa na hofu ya kufukuzwa kazi mbona tungejivunia TBC! Na kwa taarifa yako CNN hawapewi mkwanja toka Serikalini kama ilivyo kwa TBC.
Kaka huwa nakubali sana hoja zako n mitazamo yako kila siku Ila Mdahalo wa leo mama kaburuzwa aise
Nimekupata KakaKumbuka hizo namba si mimi niliyezitoa. CNN wana utaratibu wao wa kuwafuatilia wale walioangalia debate na kisha kuwahoji na hivyo kufikia hitimisho. Watu mnaweza kuangalia kitu kile kile lakini mkaja na hitimisho tofauti
Kaka huwa nakubali sana hoja zako n mitazamo yako kila siku Ila Mdahalo wa leo mama kaburuzwa aise
Kwanini mzee haa?Hahaaaa hapo unampigia mbuzi gitaa.
Nimekupata mkuuCNN wamesema kuwa wengi wa walioangalia na kupiga kura ni demos, hivyo usitegemee DT awe juu
Pia ukiangalia waliosema HC kafanya vizuri ni 39pc wakati kwa DT ni 63pc
Nimesoma makala yako yote lakini Hillary Clinton ni bora kuliko Donald Trump kuiongoza USAUkisoma hapa utaelewa kwanini mimi simuungi mkono Clinton
Kwa nini natamani Trump ambwage Clinton – Raia Mwema
Good hiyo ni perception yako,Nimesoma makala yako yote lakini Hillary Clinton ni bora kuliko Donald Trump kuiongoza USA
OK tupe feedback ya hizo channels tofauti ulizopanga kuangaliaAnhaa poa bas baadaye ntarejea utupie madini hapa ulo yapata huko