kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
Ndio maana nikasema amepangua, means amejibu vizuri. Unajua watu huwa hawashangazwi na majibu mabovu ya Trump, wanashangazwa na majibu mazuri kama hili.
Teh!, ni kweli.
Ndio maana nikasema amepangua, means amejibu vizuri. Unajua watu huwa hawashangazwi na majibu mabovu ya Trump, wanashangazwa na majibu mazuri kama hili.
Let's be honesty mdahalo wa leo trump kaimprove na kajitahidi kuwa na discipline hakika isingekuwa ile audio tape leo mambo yangekuwa tofauti sana
No Sir I have a different opinion on Hillary's answer. When someone is saying very positive things about your children, that goes direct to you as a parent. Even Trump states that, "I take this as compliment"
Nami nilihitimisha baada ya Mdahalo wa kwanza n scandal ya women Ila leo nilichokiona aise mama kaburuzwaHiyo ni kweli kabisa.
Kafanya vizuri.
Na hili jamaa liko kama paka.
Pale unapodhani hapa ndo mwisho linaibuka na pumzi mpya.
Nilishahitimisha kuwa huu uchaguzi ushaisha lakini sasa naanza kupatwa na shaka kidogo.
Inawezekana nilihitimisha mapema [prematurely].
Mdahalo wa mwisho utaendeshwa na Chris Wallace wa Fox News.
Hiyo ni kweli kabisa.
Kafanya vizuri.
Na hili jamaa liko kama paka.
Pale unapodhani hapa ndo mwisho linaibuka na pumzi mpya.
Nilishahitimisha kuwa huu uchaguzi ushaisha lakini sasa naanza kupatwa na shaka kidogo.
Inawezekana nilihitimisha mapema [prematurely].
Mdahalo wa mwisho utaendeshwa na Chris Wallace wa Fox News.
.........it is going to be a disaster to Hillary!!

Hiyo ni kweli kabisa.
Kafanya vizuri.
Na hili jamaa liko kama paka.
Pale unapodhani hapa ndo mwisho linaibuka na pumzi mpya.
Nilishahitimisha kuwa huu uchaguzi ushaisha lakini sasa naanza kupatwa na shaka kidogo.
Inawezekana nilihitimisha mapema [prematurely].
Mdahalo wa mwisho utaendeshwa na Chris Wallace wa Fox News.
Mama ni mbovu sana kwenye mambo ya syria(foreign policy) eti anadai kuwa atamwekea Putini no fly zone pale Allepo!!!....ni uongo!!...Mdahalo wa leo ulikuwa bora kabisa aise kuliko wa kwanza Ila nilijua video tape itamsumbua DT Ila tuwe fair leo mama kaburuzwa hasa mambo ya sryia
.............Hakuna mtu ambae anaweza kumwekea no fly zone Putini pale Allepo labda ile Republican ya zamani!
Ambacho mimi simkubali Hillary ni kwamba yeye ni copy ya obama,policy zote anacopy za obama!!.....Kwa nini hata asiongeze za kwake chache??![]()
Kweli kabisa mama leo alikuja kwa mbwembwe mwisho kapigwa za mbavu haaaMama ni mbovu sana kwenye mambo ya syria(foreign policy) eti anadai kuwa atamwekea Putini no fly zone pale Allepo!!!![]()
![]()
.............Hakuna mtu ambae anaweze kumwekea no fly zone Putini pale Allepo labda ile Republican ya zamani!
![]()
Hiyo ni kweli kabisa.
Kafanya vizuri.
Na hili jamaa liko kama paka.
Pale unapodhani hapa ndo mwisho linaibuka na pumzi mpya.
Nilishahitimisha kuwa huu uchaguzi ushaisha lakini sasa naanza kupatwa na shaka kidogo.
Inawezekana nilihitimisha mapema [prematurely].
Mdahalo wa mwisho utaendeshwa na Chris Wallace wa Fox News.
Watu wameshaanza yao, wanasema, Melania Trump wore a $1,100 Gucci "Pussy Bow" shirt to the debate!
Seriously! Just imagine all that precidential power on him? With the nuclear weapons and all! He will surely wipe many countries outI absolutely agree with Obama.
Trump is not sane. He is unhinged!