2016 US Elections - Exlusive discussion thread

2016 US Elections - Exlusive discussion thread

...labda watoto wake wamlazimishe akahudhurie lakini mwenyewe hawezi kuhudhuria kwa kujiona hana tatizo lolote lile. Nasikia mkewe wa kwanza aliwahi kudai jamaa alikuwa anamrape kwenye ndoa yao, lakini baada ya divorce na pesa ndefu walikubaliana yule mama asiseme chochote kuhusu yaliyojiri ndani ya ndoa yao. Na hadi hii leo yule mama hajasema lolote kuhusu yaliyojiri ndani ya ndoa yao.

Anahitaji counselling haswa ili awe sawa.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Pamoja na yote haya sijui kama atabadilika huyu kitabia, labda wanae wamjie juu sana na kumwambia kwamba tabia zake zinawaaibisha na hivyo atafute wataalam wamsaidie.

Yaani Trump anajijua mwenyewe huko kichwani kwake kwa kweli.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Km ni hivyo, huyo mama akitaka amharibie na asahaulike anaweza kukoleza moto kwa kuibua hayo mambo. Uwiii jamaa ni jeuri ya mkwanja na dharau.
 
Kwenye divorce settlement yao nadhani kuna kipengele kinambana kutosema lolote na kama akisema basi anaweza kufunguliwa mashtaka na Trump au kutakiwa kurudisha baadhi ya pesa alizolipwa ili kumfunga mdomo.

Km ni hivyo, huyo mama akitaka amharibie na asahaulike anaweza kukoleza moto kwa kuibua hayo mambo. Uwiii jamaa ni jeuri ya mkwanja na dharau.
 
  • Thanks
Reactions: kui
...labda watoto wake wamlazimishe akahudhurie lakini mwenyewe hawezi kuhudhuria kwa kujiona hana tatizo lolote lile. Nasikia mkewe wa kwanza aliwahi kudai jamaa alikuwa anamrape kwenye ndoa yao, lakini baada ya divorce na pesa ndefu walikubaliana yule mama asiseme chochote kuhusu yaliyojiri ndani ya ndoa yao. Na hadi hii leo yule mama hajasema lolote kuhusu yaliyojiri ndani ya ndoa yao.


Hii issue ya mke wa kwanza the NY times&USA today walienda mpaka mahakamani kujaribu kuifukua. Kwenye details za divorce kulikuwa na huu utata.

'The divorce was granted on the ground of "cruel and inhuman treatment."
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hillary should not dignify that scum and share the debate stage with him again tomorrow night.

I say no more debates.

Naombea wazifutilie mbali kabisa hizo zilizosalia.

Assumption:
......what if Jullian Assange resurfaces with a bombshell about Hillary and drop it like its hot? The so called October surprise
Don't you think it could reverse the polls?
 
They have already release some, but so far the reaction is very mild.

Assumption:
......what if Jullian Assange resurfaces with a bombshell about Hillary and drop it like its hot? The so called October surprise
Don't you think it could reverse the polls?
 
  • Thanks
Reactions: kui
They have already release some, but so far the reaction is very mild.

Who knows may be they are just buying some time to unleash another bombshell a week before election so that she won't have time to repair the damage
It could be let's say a sex tape. You never know with folks' lives in their basements
 
  • Thanks
Reactions: BAK
You never know with Wikileaks, I am 110% sure that there is more to come between now and the last week before the election. I am crossing my fingers for Hillary to go through as the next POTUS.

Who knows may be they are just buying some time to unleash another bombshell a week before election so that she won't have time to repair the damage
It could be let's say a sex tape. You never know with folks' lives in their basements
 
Hillary should not dignify that scum and share the debate stage with him again tomorrow night.

I say no more debates.

Naombea wazifutilie mbali kabisa hizo zilizosalia.

How comes the entire planet pays attention and is currently keenly and anxiously following the U.S. Presidential election tena for months
How comes the same doesn't happen for China, UK or even Tanzania??
When was the last time you followed China's presidential election??????
 
You never know with Wikileaks, I am 110% sure that there is more to come between now and the last week before the election. I am crossing my fingers for Hillary to go through as the next POTUS.
Do you pay attention to UK or China elections????
 
How comes the entire planet pays attention and is currently keenly and anxiously following the U.S. Presidential election tena for months
How comes the same doesn't happen for China, UK or even Tanzania??
When was the last time you followed China's presidential election??????

Well, say no more coz you already know.
 
Assumption:
......what if Jullian Assange resurfaces with a bombshell about Hillary and drop it like its hot? The so called October surprise
Don't you think it could reverse the polls?

The only thing I can think of that would spoil her almost surefire chances of winning is maybe a sex tape of her and Bill.

Other than that nothing else would top all things Trump!
 
Pamoja na yote haya sijui kama atabadilika huyu kitabia, labda wanae wamjie juu sana na kumwambia kwamba tabia zake zinawaaibisha na hivyo atafute wataalam wamsaidie.

Mkuu BAK ikifika wakati wa uchaguzi wa rais kule China usiache kuanzisha special thread Ya uchaguzi wa uchina
Uache kubagua
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hivi kule Mkuu nako kunakuwa na uchaguzi!? Uchaguzi ambao miaka nenda miaka rudi mshindi anajulikana hata kabla ya kuanza kupigwa kura. Na mshindi ni yule yule miaka yote. Mimi Mkuu nakuomba wewe uanzishe uzi huo kuhusiana na uchaguzi wa China na wengi watachangia.

Mkuu BAK ikifika wakati wa uchaguzi wa rais kule China usiache kuanzisha special thread Ya uchaguzi wa uchina
Uache kubagua
 
Hivi kule Mkuu nako kunakuwa na uchaguzi!? Uchaguzi ambao miaka nenda miaka rudi mshindi anajulikana hata kabla ya kuanza kupigwa kura. Na mshindi ni yule yule miaka yote. Mimi Mkuu nakuomba wewe uanzishe uzi huo kuhusiana na uchaguzi wa China na wengi watachangia.

Basi usisahau ikifika uchaguzi wa England, France na Russia
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nitajitahidi Mkuu lakini kulikuwa na threads ambazo zillichangiwa sana hapa kuhusu kura ya Uingereza kujiondoa au kutojiondoa kwenye EU na pia kura ya Scotland kama wabaki UK au wawe huru.

Basi usisahau ikifika uchaguzi wa England, France na Russia
 
Back
Top Bottom