Hata mke wake ni wakumuonea huruma km yeye mwenyewe haoni.Acha tu mkuu, maneno yake haya ni mazito kiasi waandishi wakitaka kuyarusha inabidi watoe tahadhari in case kuna watoto karibu.
Naona amegoma kabisa mkuu, Sidhani ataondoka.
Hiyo haiwezi kuwa na nguvu kwa sababu (1) Bill siyo mgombea na (2) hakuna jipya. Ushenzi wake karibu wote unajulikana.Ninavyoona ile ya Bill ambayo Donald amekuwa anaitumia imekuwa haina nguvu tena. In all fairness Donald angekubali yaishe.
.
Mimi natabiri voter turnout itakuwa ya chini sana mwaka huu.![]()
Halafu pia kwenye baadhi ya majimbo kama North Carolina na Florida tayari kura zimetayarishwa na wapiga kura wamekwishapiga kura.
Washington Post wanasema kura 8000 tayari zimekwishapigwa huko North Carolina na 5000 Florida.
Na pia tarehe ya kukamilisha kuchapa makaratasi ya kura imekwishapita.
Kuna uwezekano Mike Pence akaingia kuwa mgombea lakini itategemea na mpambano wa kesho.
Mimi natabiri voter turnout itakuwa ya chini sana mwaka huu.
Na sababu kuu ni wagombea wote wa vyama vikuu ni wa hovyo.
Turnout ya GOP nadhani ndo itashuka zaidi kuliko ya Dems.
Huyu jamaa hayuko smart kwanza kwa kuongea kauli za kipum bavu hadharani kwa miaka mingi tu na pili kwa kutotafakaribkwa kina hasa kukumbuka kauli zake kipum.bavu za miaka ya nyuma. Angekuwa ni mtu smart angejua opponents wake wanaweza kuzitumia kauli hizo na hivyo kusababisha wapiga kura wengi wasiwe tayari kumpigia kura.
Angekuwa smart asingethubutu kuchukua form ya kugombea Urais kwa kujua fika kauli zake za nyuma zinaweza kuwa kikwazo kikubwa kwake.
Mimi natabiri voter turnout itakuwa ya chini sana mwaka huu.
Na sababu kuu ni wagombea wote wa vyama vikuu ni wa hovyo.
Turnout ya GOP nadhani ndo itashuka zaidi kuliko ya Dems.
Umeona eeh?Hapo ndiyo watu wajifunze hizi siasa za uongo na kuigiza.
Bill Clinton alifikishwa kwenye bunge kujibu kashfa ya kumdhalilisha Monica na wakati ule, Hillary Clinton kwa kuwa alikuwa ambitious kutaka kuwa raisi akamezea ile issue na akawasaliti wanawake wote wa Marekani kwa kusimama na mumewe hadi mwisho.
Sasa Trump kuja kutolewa kafara kwa mkanda wa video wa miaka zaidi ya 11 ilopita ni jambo la ajabu sana kuhusu hawa wazungu.
Yaani hawa wagombea wawili hawastahili kabisa kuwa maraisi wa Marekani.
Barak Obama angeendelea kuwa raisi na wangefanya mabadiliko kwenye utaratibu wa uchaguzi mpaka wapate wagombea wenye sifa.
Wakuu mie mbona naona km Donald anamapungufu kwenye akili? Kweli yuko vizuri huyu,. Na refer tu mazungumzo yake na Stern.
Huyo hayuko sawa kichwani.Wakuu mie mbona naona km Donald anamapungufu kwenye akili? Kweli yuko vizuri huyu,. Na refer tu mazungumzo yake na Stern.
WOW! SMDH!
Donald Trump to Howard Stern: It's okay to call my daughter a 'piece of ass'