Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,100
- 136,732
Mimi nadhani independents wengi kama mimi wamekuwa turned off kupita kifani.Democrats lazima watahakikisha "get out the vote campaign" inakuwa na mafanikio makubwa ili kujihakikishia ushindi. Inawezekana wasipate watu wengi kama 2008 & 2012 lakini kama percentage itaanguka basi si kwa asilimia kubwa sana.
Hao ndo nahisi wata sit out huu uchaguzi kwa sababu they have nothing to vote for.
Wataojitokeza no wale wafia vyama tu na hiyo zaidi naiona kwa Dems kuliko GOP.
Sidhani kabisa kama GOP wengi watajitokeza kwa sababu naamini walio wengi wana conscience njema ambayo haiwezi kuwaruhusu kumpigia kura huyo mwendawazimu.
Sasa kwanza sidhani hata wale wanae wa kike wanaweza kumpigia kura baba yao.
Baba gani yule.....he's an utter embarrassment to every decent human being.
Na hili suala sasa ni beyond party lines. It's about human decency.