BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
- Thread starter
- #441
Mfa maji haishi kutapatapa, by the way wikileaks ' October surprise about Hillary is out but so far the reaction is very mild. Maybe it'll catch fire in coming days.
Na, chakushangaza Trump hata kamtaja kwenye apology statement yake, sijui Bill wa nini zaidi ya kupunguza uzito wa message yake ambayo ni most important for him in the middle of this storm.
Na kesho kwenye debate I bet he's going to yell Bill Clinton most part of it.