2011 UDSM nilinusurika kukamatwa

salumu nashangaa hili jina la hapy limetokea wapi nakosa majibu
jamaa alijifanya mwanaharakati picha yake ikaonekana gazetini akiwa dodoma kavaa sare ya chama...
gazeti likabandikwa pale cafteria ya pili baada ya manzese pale walikua wanaekaga matangazo mengi
ndo raia wakajua jamaa ni CCM
 
yaani ukitaka chakula cha anasa mabibo hostel pale victoria ndo unakula cha 1000 kizuriii wali maini au nyama
 
yaani ukitaka chakula cha anasa mabibo hostel pale victoria ndo unakula cha 1000 kizuriii wali maini au nyama
Daah mabibo nilikaaga kuanzia 2nd year hadi mwaka wa mwisho kulikuaga fresh sana misosi pale kwa wale wapemba ilikua si mchezo, victoria hata siikumbuki ilikuaga ipo sehemu gani? Au ule mtaa wa nyuma ulioongozana masteshenari kama ukiwa unakula shato pori?
 
huo huo hahah eti shato pori
acha kabisa lile life
 
Endelea na uandishi wako huo. Ndio maana mnaozea mtaani bila kazi. Nani atakupa kazi unaandika paragraph haina kituo. Unaandika ripoti kama text message.
Ndio "wasomi" wetu hawa waliosomea ujinga! Kuandika hawawezi, kuongea hawawezi, wala lugha yoyote hawawezi!

Tuna mainjinia (naogopa hata kuwaita mainjinia) wasioweza kujenga hata barabara ya changarawe, achilia mbali kutandika lami! Juzi mpaka kaja mchina ndio kafunga Round about!
 
afuu acheni kunitajataja humu jukwaani
 
huo huo hahah eti shato pori
acha kabisa lile life
Hahaha shato pori ukiwa unasubiria boom liunganishwe na boom jengine inabidi uporike halafu ukiziona shato unageuza sura kimtindo kabla hawajabomoa barabara ilikua ukiwa unaporika na mmetoka kwenye kipindi unaonekana live bila chenga haswa kwenye foleni yale maisha yalikua matamu sana...
 
Ikabidii Kusepaa nkaja kuckiaa ni mkuu wa Wilayaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ya sasa hv udsm hakuna kitu sisi tuliopo pale hakuna lolote

Siasa za kipuuzi
 
Mkuu ukifuatilia maisha ya JF na kutaka mtu afanye unavyotaka utapata tabu sana mkuu, kuna mtu id siiweki hapa mada zake za humu anazoandika pale MMU na status yake ni tofauti.

Fuata kilichokuleta lasivyo utaonekana umetoroka Milembe
 
Nikiwaona jioni wanapokatisha huwa nacheka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…