huyu jamaa yuko simple sana na mziki wake unaeleweka hapa tayari kabeba tuzo 4 za kili mpaka sasa. kuangalia tweeter na fb naona watu wengi hawakubali...why?
huyu jamaa yuko simple sana na mziki wake unaeleweka hapa tayari kabeba tuzo 4 za kili mpaka sasa. kuangalia tweeter na fb naona watu wengi hawakubali...why?
Wasiokubali ni watoto wajingawajinga ambao wanapenda nyimbo za kurembua macho...
Unategemea watoto wa Fb WATAPENDA MTU ANAYEWACHANA KUWA "tamaa mbaya"?...
20% kumlinganisha na wanabongofleva wengine ni kama kulinganisha mbingu na ardhi!
Mdau mitandao gani haWakubali? Mbona watu wengi wamemkubalI sana tU...na hata wakati wa tuzo kila akitajwa kelele za mashabiki ilikuwa usipime? check Out vzr...
Huyu kijana anastahili kabisa wanaompinga ni sharobaros, Yuko simple but message za ukweli . Anareflect maisha halisi. "Yanini malumbano yanini maneno bora nitulie nipate changu na mie......" full busara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.