johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,112
Usidhani zamani Watoto wa Viongozi walikuwa wanapelekwa Ulaya na baba zao, la hasha walichonga mipango wenyewe wanaondoka
Siku Hizi Watoto wa Viongozi wanafanyiwa connection waingie CCM
Nakumbuka mtoto Mmoja wa Waziri baada ya kuona Watoto wote wa jirani yao pale Upanga aliyekuwa afisa wa Juu wa Polisi Mzee Mwaitenda wametimkia Marekani yeye akajiongeza na kuzamia Meli alizunguka Huko duniani Mwisho akajikuta Marekani na washikaji zake
Zamani Siasa ilionekana ni Ushamba fulani hivi hasa hapa DSM kwenye fursa kibao
Siku Hizi Watoto wa Viongozi wanafanyiwa connection waingie CCM
Nakumbuka mtoto Mmoja wa Waziri baada ya kuona Watoto wote wa jirani yao pale Upanga aliyekuwa afisa wa Juu wa Polisi Mzee Mwaitenda wametimkia Marekani yeye akajiongeza na kuzamia Meli alizunguka Huko duniani Mwisho akajikuta Marekani na washikaji zake
Zamani Siasa ilionekana ni Ushamba fulani hivi hasa hapa DSM kwenye fursa kibao