Hao jamaa ni shida . Hiyo picha sio ya kawaidaTechnology inazidi kukua sana, hiyo ni picha iliyopigwa mji wa Shanghai china. Ina resolution ya 195 GIGAPIXEL. unaweza ukazoom mpaka plate no# za gari zikajaa kwenye screen na picha isiharibike.
bird-eye
duh mkuu nimeiona hi Image ni High resolution si ya mchezoTechnology inazidi kukua sana, hiyo ni picha iliyopigwa mji wa Shanghai china. Ina resolution ya 195 GIGAPIXEL. unaweza ukazoom mpaka plate no# za gari zikajaa kwenye screen na picha isiharibike.
bird-eye
tumia Chrom kuifunguwa hyo (bird eye)tuwekee mkuu tuione basi
Nilidhan ni free basics yangu imekataa kuonesha ndo maana siioni hiyo picha kumbe ni Jamaa hajaweka hiyo pichatuwekee mkuu tuione basi
Ipo kwenye link aliyeiwekaNilidhan ni free basics yangu imekataa kuonesha ndo maana siioni hiyo picha kumbe ni Jamaa hajaweka hiyo picha
nimeiona mkuu, picha iko fresh very clear mpaka dahtumia Chrom kuifunguwa hyo (bird eye)
nimeiona mkuu, picha iko fresh very clear mpaka dah
Nnahisi hii Bird Eye ni high resolution satellite kama zilivyo Quick bird, GeoEye-1, Ikonos nk.Technology inazidi kukua sana, hiyo ni picha iliyopigwa mji wa Shanghai china. Ina resolution ya 195 GIGAPIXEL. unaweza ukazoom mpaka plate no# za gari zikajaa kwenye screen na picha isiharibike.
bird-eye
Mkuu BirdsEye ni satellite imagery! Ifuatilie vyema!Mkuu hapo Bado sijafahamu ila lazma ziwe spesho sana.
Hàaaaa haa ahaaa... Mtanzania hajawahi kuadmit kushindwa kitu! Huu ni mfano mzuri wa mtanzania halisi.Hizo ni picha zilizounganishwa kijanja na wala sii picha ya kupigwa imetengenezwa na ukitaka kujua ukweli, picha ya kawaida unaweza ku izoom kila sehemu au kila pande lakini hii inakupeleka hapo hapo tuu waliposimama hayo maroboti ya watu