Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
umeamkia nyumbani kweli leo?.....nina mashaka.
Umesahau jana ilikuwa sikukuu ya kupinduana? Nilikuwa napinduana sehemu sasa mining'inio na uchovu imenikaba kabari.
umeamkia nyumbani kweli leo?.....nina mashaka.
Nimekugongea SENKSI kule. Unatumia kinywaji gani? Mi ndo naandaa bajeti hapa, nataka binadamu siku hiyo wateseke na vinywaji!
nimecheka mpaka nimekuchukia....nimekuuliza umeamkia nyumban kweli leo?
Hivi Kaizer yuko wapi?
Mbege usisahau kueka
Nimekugongea SENKSI kule. Unatumia kinywaji gani? Mi ndo naandaa bajeti hapa, nataka binadamu siku hiyo wateseke na vinywaji!
kuishi na watu HALIJAWAHI KUWA JAMBO RAISI!.....ninashukuru pamoja na udhaifu wangu nimeweza kuishi vyema na ninyi marafiki zangu!
AHSANTENI SANA.
ahsanteni kwa michango yenu mikubwa mliyonisaidia
ahsanteni kwa kunipa courage
kikubwa kwangu sio fedha,ila ule ukaribu wenu kwangu NI FARAJA YA PEKEE KABISA
ahsante sana X-pin,kaizer,fidel,next-level,nyamayao,carmel,georgieporgie,bht,nguli,mwanajamiione,fl1,maxcence melo,invisible,kloroquine,edson,pearl,lilyflower,JS,pakajimi,msindima et al....HAWA NI WATU AMBAO THEY HAVE ALWAYS BEEN THERE FOR ME...!meaning kwamba jamiiforums imekuwa na mimi ALL THE WAY TO MY MARRIAGE
kuishi na watu HALIJAWAHI KUWA JAMBO RAISI!.....ninashukuru pamoja na udhaifu wangu nimeweza kuishi vyema na ninyi marafiki zangu!
AHSANTENI SANA.
ahsanteni kwa michango yenu mikubwa mliyonisaidia
ahsanteni kwa kunipa courage
kikubwa kwangu sio fedha,ila ule ukaribu wenu kwangu NI FARAJA YA PEKEE KABISA
ahsante sana X-pin,kaizer,fidel,next-level,nyamayao,carmel,georgieporgie,bht,nguli,mwanajamiione,fl1,maxcence melo,invisible,kloroquine,edson,pearl,lilyflower,JS,pakajimi,msindima et al....HAWA NI WATU AMBAO THEY HAVE ALWAYS BEEN THERE FOR ME...!meaning kwamba jamiiforums imekuwa na mimi ALL THE WAY TO MY MARRIAGE
AHSANTE SANA J.S!on the serious note you are so special!....i mean thank youNimekugongea senksi kule mwanawani
And we will always be there for you mpaka mwisho sawa
Kuna stauti mbili toka Kibosho zinafanyiwa sevisi tayari kupeleka mapipa kazaa ya mbege toka kibosho!
Kutajwa wa kwanza siyo jambo dogo. Nimekuwa wakwanza pia kukugongea senksi! Ze Pillar of ze wapwaz!
spesho thenks to my brother,my homeboi next level!.........leo homu boi huku ndani unyenyekevu ''a'' aka msonge aka kibanda.......! Yaani mzee unashusha masifu sijui ya zaburi gani ile or kitabu gani vile.........''wanamacho lakini hawaoni, wanamasikio lakini hawasikii, wanapua lakini hawanusi... Then....mungu wetu yupo mbinguni, msifu yeye msifu yeye...etc etc.....seminary raha!
Back to point........we talked mzee! Binafsi naweza nisiwepo kny send off...bt tukio kubwa, we try make sure nakuwepo physically.....and u know this will be in additional to my mchango ambao utaupata in two weeks kny account yako!
Kama nitaenda which will confirm two weeks before tukio, nitakuwa na gx100.....so unayependa kwenda...si zaidi ya watatu....tunaweza tumia usafiri huo pamoja for jf members, tunaondoka ijumaa 12 feb and back sunday 14.
So mkuu geoff tupo pamoja!
Kutajwa wa kwanza siyo jambo dogo. Nimekuwa wakwanza pia kukugongea senksi! Ze Pillar of ze wapwaz!
na wish ningekuwa moshi "ningeitisha" mie mwenyewe nyie mfanye kuja kuchukua na pikipiki....msesewe kwa wingi mweh
Geoff*, Ambassador, Che Kalizozele, Edson, FirstLady1, George_Porjie+, Mfuatiliaji, Msindima, MwanajamiiOne, Next Level, Nyamayao, s.fm, Sinkala
wakuu wangu woote ninawapenda sana,
natarajia kuandaa hafla ndogo ya kuwashukuru woote kila mmoja kwa namna ya pekee kabisa nikirudi dar,
tupo pamoja
Na mimi NAOLEWA tarehe hiyo hiyo wapwazz na binamuzz................sasa inakuaje????????
Aisee unanikumbushua mbali Nyamayao kula senksi kwanza
Msesewe ndo kinogesheo hivi kwa ile kitu yani wallahi nimeimiss lol!!!!