professional ethics
Senior Member
- Dec 24, 2023
- 108
- 352
Enyi wana jf elimu ni kazi kama kazi nyingine, kijana anapo hitimu chuo ni haki yake sasa kupata nafasi ya ajira ili elimu yake imlipe kwa kutoa huduma kutokana na alicho somea.
Sasa unakuta kijana yupo chuo kijikatia tamaa kuwa ajira hazipo mara oooh wahitimu ni wengi wapo kwa streets.
Ndugu, tamka positive juu yako kwani ndani yako Kuna uungu, ni Kweli ajira hazipo kwao wanao amini hazipo, lakini sio kwako ndugu yangu.
Don't washed by mob psychology.
Ajira ione rohoni kwani ni haki yapo kuipata maana umeisotea Kitambo under 1:74:2:3+
Sasa unakuta kijana yupo chuo kijikatia tamaa kuwa ajira hazipo mara oooh wahitimu ni wengi wapo kwa streets.
Ndugu, tamka positive juu yako kwani ndani yako Kuna uungu, ni Kweli ajira hazipo kwao wanao amini hazipo, lakini sio kwako ndugu yangu.
Don't washed by mob psychology.
Ajira ione rohoni kwani ni haki yapo kuipata maana umeisotea Kitambo under 1:74:2:3+