Kuna wakati wa kulalamika na kunung'unika na kuna wakati wa kuamua kufanya kitu. Wapo ambao wameamua na wanaamua kufanya kitu.. Wakati wa kufanya kitu wakati mwingine inategemea sana muda na muda ukifika inabidi ufanye hicho kitu.. so ndani ya masaa 24 tunaanza kuhesabu tic tac tic tac
kama kuna watu wamechaguliwa kufanya kazi na hawafanyi wakati mwingine inabidi wasukumwe kidogo... I mean tutaendelea kuwaomba mpaka lini?
<br />kama kuna watu wamechaguliwa kufanya kazi na hawafanyi wakati mwingine inabidi wasukumwe kidogo... I mean tutaendelea kuwaomba mpaka lini?
sifahamu inakuwaje mods wanaacha huu upupu uendelee. Mtu anakuja anasema tic tac 24hrs countdown, na hasemi chochote...au ndo kwa sababu ana posts nyingi humu ndani, au jamaa anataka thread iwe na post nyingi?
je member mwingine akija na thread ya countdown ya 48hrs bila kusema chochote, thread mtaiacha au kuifuta? silalamiki, bali nashindwa kuelewa huu utaratibu.
sifahamu inakuwaje mods wanaacha huu upupu uendelee. Mtu anakuja anasema tic tac 24hrs countdown, na hasemi chochote...au ndo kwa sababu ana posts nyingi humu ndani, au jamaa anataka thread iwe na post nyingi?
je member mwingine akija na thread ya countdown ya 48hrs bila kusema chochote, thread mtaiacha au kuifuta? silalamiki, bali nashindwa kuelewa huu utaratibu.
Unanikumbusha aliyoongea Mh. Spika, Anna Makinda Bungeni, pale ambapo wabunge kutoka SMZ walimtolea matusi na maneno mengine kedekede ya kejeli mbunge mwenzao Tundu Lissu. Lakini jamaa alipoomba mwongozo, Spika akasema "tuvumiliane" ... indirectly akiashiria tabia na uelewa wa mambo wa waliokuwa wakimdhihaki Mh. Lissu!
However with your principled objection on this thread the opposite could also be true! i.e. JF mods have left the thread to thrive thru due to track record of the poster. Sort of saying, tuvumiliane, in anticipation of good stuffs renowned of the person!! Where am I, am on a horse!
sifahamu inakuwaje mods wanaacha huu upupu uendelee. Mtu anakuja anasema tic tac 24hrs countdown, na hasemi chochote...au ndo kwa sababu ana posts nyingi humu ndani, au jamaa anataka thread iwe na post nyingi?
je member mwingine akija na thread ya countdown ya 48hrs bila kusema chochote, thread mtaiacha au kuifuta? silalamiki, bali nashindwa kuelewa huu utaratibu.