ziwa

Ziwa is an archaeological site in Nyanga District, Zimbabwe, containing the remains of a vast late Iron Age agricultural settlement dated to the 15th century. Ziwa was declared a National Monument in 1946 and is currently under consideration for World Heritage listing. The site contains a large variety of stonework structures including stone terraces running along contours of hills and steep landscapes. Archaeological investigations have also uncovered important aspects of pottery and rock art.
Before the declaration of the site as a National Monument, Ziwa had been part of the commercial farms area and was thus under private ownership. A great deal of damage or degradation of antiquities may have been wrought during this period as the farmer used the property as a cattle ranch. Currently a site museum (with tourist facilities such as camping, guided tours, walking trails, bird viewing, etc.) has been established to represent the Ziwa heritage and other archaeological sites in the Nyanga district.
Despite the abandonment of the site by its inhabitants in the 18th Century, Ziwa continued to be of significance to the later communities that settled in its neighbourhood.

View More On Wikipedia.org
  1. Masalu Jacob

    Kanda ya ziwa: Lini kutakuwa na kiwanda cha Dagaa, Sangara na Sato

    Habari Tanzania ! Eti lini wapendwa mtaleta Viwanda vya kuchakata Dagaa na Samaki ? Au ndio kusema mmeamua kuwaacha na mambo yao yote Kanda ziwa ? Onyesheni basi maupendo jamani. NB Masoko yapo ila viwanda hakuna.
  2. JanguKamaJangu

    TANAPA kufadhili vizimba vya samaki kudhibiti uvuvi haramu Ziwa Victoria

    SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limekuja na mpango wa kufadhili mradi wa ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya Ziwa Victoria kwa jamii ya wakazi wanaoishi jirani na hifadhi ya taifa kisiwa cha Rubondo. Mradi huo ni sehemu ya makundi matatu ya miradi ambayo inahusisha...
  3. Stability

    Wakazi wa kanda ya ziwa nyumba ya 9.6m x 8.7m inaweza kula trip ngapi za mawe katika msingi?

    Wakazi wa kanda ya ziwa nyumba ya 9.6m x 8.7m inaweza kula trip ngapi za mawe katika msingi? Karibuni
  4. The humble Man

    samaki Aina ya GOGO

    Kama unafahamu samaki aina ya GOGO, tafadhali nijulishe Jina lake lingine ni lipi, anapatikana wapi kwa mwambao wa ziwa Victoria, kama una picha itasaidia zaidi.
  5. M

    Israel ikifanikiwa katika mpango wake wa Greater Israel Watanzania tujiandae kupoteza Ziwa Victoria

    Bila shaka sasa siyo siri, Israel imeonyesha kwa vitendo na maneno kuwa Inataka ile kitu inayoitwa "Greater Israel". Hilo lilithibitishwa na Bwana Benjamin Netanyahu wakati akihojiwa na mbunge wa zamani ktk bunge la Israel bwana Gal. Netanyahu aliulizwa kama anaamini katika Greater Israel...
  6. sayyi

    Sehemu za makazi zilizoendelea kwa kasi Kanda ya Ziwa.

    Habari wana JF, Je kwa sasa kanda ya ziwa ni sehemu zipi zinazoendelea katika ukuaji wa kasi kwenye ujenzi wa nyumba za kisasa za MAKAZI na je viwanja vinapatika kwa size ipi na thamani yake ikoje?
  7. DR HAYA LAND

    Kwahiyo Jumanne kaseja anaweza akawa ndo aliishusha ile timu ya ligu kuu kanda ya ziwa na sasa anapambana kuipandisha timu yake ya nyumbani?

    Kipi ni kipi jumanne kaseja amekuwa jumanne kaseja je alihusika kuishusha timu ya ligi kuu ya kanda ya ziwa. Je kwakuwa timu ya kanda ya ziwa ilichukua ubingwa Mara moja na kushushwa daraja. Na mbaya wachezaji wake wa kutegemewa wanazidi kupoteana . Je alaumiwe jummanne Kaseja au lilaumiwe...
  8. Nyankurungu2020

    Kuna dalili za huu utawala kuwatenga watu wa kanda ziwa. Mradi wa Sgr Dodoma Mwanza hautakamilika kwa wakati ili kuwadidimiza

    Kwa nini Dodoma iwe kipaumbele na mikoa ya Mwanza na jirani kusahaulika? Kuanzia Dodoma mpaka Mwanza kupitia Taboara mradi unasuasua. Maeneo ya Itigi kama vile hakuna mkandarasi Kuanzia Isaka mpaka Mwanza mradi umesinyaa kabisa. Oktoba ipo karibu watu wa Tabora, Mwanza, Shinyanga, mpanda na...
  9. Waufukweni

    PreGE2025 Wajumbe Mkutano Mkuu CCM wapitisha Rais Samia, Dkt. Mwinyi kugombea Urais 2025

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa amewasilisha hoja kwa mkutano mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Mwenyeiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan awe mgombea urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Pia, Kimbisa amesema Makamu Mwenyekiti Zanzibar wa CCM, Dk...
  10. U

    Kama ni kweli Balozi Polepole anaasili ya kisiwa cha Ukara huko ziwa Victoria basi ipo kazi kwani hao jamaa naambiwa wanajiamini kweli kweli!

    Ni hayo niliyonayo kwa Leo kama nimekosea mnisahihishe
  11. G

    Ziara ya kanda ya ziwa ametuthibitishia kuwa hakuna uchaguzi huru tena

    Kajitangaza kawa ni mshindi tiyari wa urais, ni yeye anayeamua nani awe au asiwe mbunge, tiyari keshaanza kugawa nafasi zake 10 za ubunge. Je kuna haja tena ya kupoteza mabilioni ya kodi zetu kwenye uchaguzi fake?
  12. The Burning Spear

    Faatilieni ziara ya Raisi Samia huko kanda ya ziwa kashaanza kunena kwa lugha.

    GT Hapa tanzania ukiondoa Arusha na mbeya, kanda ya ziwa nako ni kugumu sana kwa chama cha mapinduzi ni kwa sababu moja tu watu wa huko wamenyooka hawapendi uongo uongo, na ukiwadanganya wanajua kabisa unawapiga kamba kama hawataguna mhiiii basi watakaa kimya au kukuzomea kama ilivyo mbeya na...
  13. Stuxnet

    Mgogoro wa Ziwa Nyasa: Hatimaye Malawi yakubali kuwa ziwa ni la nchi zote 3

    Tafsiri isiyo rasmi Jamhuri ya Malawi Taarifa kwa Umma Wizara ya Mambo ya Nje inapenda kuujulisha umma kwa ujumla kwamba, baada ya mashauriano ya kidiplomasia ya kina na kwa kuzingatia mifumo ya kisheria ya kimataifa, imefikia makubaliano ya kihistoria na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa...
  14. Mshana Jr

    Maajabu ya ziwa Natron

    Ziwa Natron, lililoko kaskazini mwa Tanzania, ni mojawapo ya mazingira magumu zaidi duniani. Maji yake yana pH ya juu hadi 10.5 na yanaweza kufikia joto zaidi ya 60 ° C. Ukali wa ziwa hilo unatokana na kabonati ya sodiamu na madini mengine, ambayo hupenya kutoka kwa miamba ya volkeno...
  15. ngara23

    Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa

    Kanda ya ziwa wanaotoka watu wenye akili nyingi kama Gwajima na katu mtu wa kanda ya ziwa katu hawezi kuwa chawa na kuendesha kijinga Lissu alikwambia mkiuwa upinzani au CHADEMA, mtaanza kupingana nyie wenyewe Leo tumeisikiliza press ya maana ya mwana CCM Askofu Gwajima Press zinazofuata za...
  16. N

    Chadema yazidi kung'ara kanda ya ziwa, yahitimisha mikutano yake kwa kishindo kikubwa mjini Kahama

    Chadema kwa sasa ndio habari ya nchi.
  17. Fbn

    Kanda ya ziwa ina mawe mazuri ambayo yanaweza kujenga barabara na mitaro mpaka vijijini lakini tumeshindwa

    Ukianza kuingia singida na ukanda wa ziwa kuna mawe yanayo tumika kujenga misingi ya nyumba za huko. Ingekuwa kwa wenzetu ndio wamepata haya mawe basi mpaka uchochoroni kungekuwa na rami.
  18. jblus

    Mpenzi (KE) awe kanda ya ziwa

    ..
  19. Mtumishitu

    Dagaa zimeanza ziwa victoria wa Congo, Rwanda wakiwa vinara soko la nje

    Wanajamii habari zenu ;;?? Heri ya pasaka kwa wale wageni na page hii ni NDARO muuza dagaa kandq ya ziwa kwa hapa jamiforum nafahamika kama mtumishi yaani nawatumikia jamii sio vingine. Yoyote kwa yote dagaa ni biashara inayo zidi kushika kasi ndani ya Tanzania na inje pia ya Tanzania kama...
  20. Torra Siabba

    DOKEZO Hivi Mamlaka za Mwanza zimeshindwa kukabiliana na magugumaji Ziwa Victoria?

    Maeneo kadhaa ambayo yamekuwa yakitumiwa kwa ajili ya shughuli mbalimbali za kibinaadamu kando ya Ziwa Victoria upande wa Mwanza yamekuwa yana magugumaji ambayo yamekuwa changamoto na kukwamishwa shughuli nyingi. Magugumaji hayo yamekuwa kikwazo mara kadhaa katika vivuko na kusababisha...
Back
Top Bottom