Waziri Kombo ahitimisha ziara nchini China
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amehitimisha ziara yake ya kikazi nchini China iliyofanyika kuanzia tarehe 9 hadi 19 Juni, 2025.
Akiwa nchini China, Mheshimiwa Waziri Kombo aliongoza...