Exorcist
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 1,236
- 1,257
Kwanza mafuta yenyewe tayari yameshakuwa too expensive, sioni shida huu usumbufu wa parking nao tukaepukana nao, tulipe hiyo parking fees huko huko kwenye mafuta tujue moja.
Hizo pesa za kuwalipa watu kuzunguka na vimashine nchi nzima kwenye jua kali ni bora wakafanya Sensa tu. Wenye magari wanasumbuliwa sana na watu wengi sana, wapunguziwe usumbufu angalau.
Kwa wale mnaosema hamuendi mjini inabidi mfahamu, hata ukipaki nje ya fensi yako kwenye road reserve huko porini, bado ulitakiwa ulipe parking fees, na sidhani kama unaweza kutumia mafuta halafu usihitaji parking. Tujadili tuone.
FRANCIS DA DON
Hizo pesa za kuwalipa watu kuzunguka na vimashine nchi nzima kwenye jua kali ni bora wakafanya Sensa tu. Wenye magari wanasumbuliwa sana na watu wengi sana, wapunguziwe usumbufu angalau.
Kwa wale mnaosema hamuendi mjini inabidi mfahamu, hata ukipaki nje ya fensi yako kwenye road reserve huko porini, bado ulitakiwa ulipe parking fees, na sidhani kama unaweza kutumia mafuta halafu usihitaji parking. Tujadili tuone.
FRANCIS DA DON