Hello JamiiForums,
Moja kwa moja kwenye mada,ndugu zangu na mashabiki wenzangu wa mpira wa miguu (football).
Naomba basi tujifunze na kuheshimu timu zingine,tuache ile hali ya kuona kuwa hizi timu mbili za Simba na Yanga haziwezi kufungwa
Yaani mchezo wa jana kati ya Mbeya City wenyeji...