GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Viongozi wa Simba SC (hasa Poti wangu Crescetius Magori ) na Wewe Rafiki yangu mkubwa Kassim Dewji bila Kumsahau Mtani wangu wa Kiha (Muha) Mwina Kaduguda, Benchi la Ufundi (hasa Rafiki yangu wa Kimpira Kocha Selemani Matola) pamoja na Wachezaji wote wa Simba SC (hasa Mwanangu mwenyewe Jonas Mkude) tafadhalini nawaomba msiniangushe GENTAMYCINE kwani endapo Simba SC 'tutafungwa' hakika 'nitakoma' hapa JamiiForums kwa 'Kushambuliwa' na Wana Yanga SC na hata wale 'Maadui' zangu wa Kawaida.
Manake nimezipata za chini chini (nyepe nyepe) kuwa kuna JF Members (hasa Mashabiki wa Yanga SC) wameshaniandalia 'Comments' za Kunishambulia (Kunisiliba) mwanzo mwisho mpaka nijute Kuzaliwa.
Ila na nyie wana Yanga SC 'hakyanani' naapa Simba SC ikishinda (tukishinda) tafuteni kwa Kukimbilia kwani nimewaandalia 'Dozi' za 'Madongo' yangu na najua Wengi wenu mtanichukia na hapa mtapaona pachungu.
Naomba hii 'Mvua' inyeshe hadi J'Mosi!!
Manake nimezipata za chini chini (nyepe nyepe) kuwa kuna JF Members (hasa Mashabiki wa Yanga SC) wameshaniandalia 'Comments' za Kunishambulia (Kunisiliba) mwanzo mwisho mpaka nijute Kuzaliwa.
Ila na nyie wana Yanga SC 'hakyanani' naapa Simba SC ikishinda (tukishinda) tafuteni kwa Kukimbilia kwani nimewaandalia 'Dozi' za 'Madongo' yangu na najua Wengi wenu mtanichukia na hapa mtapaona pachungu.
Naomba hii 'Mvua' inyeshe hadi J'Mosi!!