GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,519
- 108,795
Poleni mno Yanga SC na najua huu Ubingwa wa Simba SC Mapinduzi Cup hii ya 2022 Umewaumiza sana tu.
Na najua pia kuwa Kesho mmeitisha Mkutano Wenu na Waandishi wa Habari kwa Mkakati wa Kipropaganda zaidi.
Hakuna asiyejua kuwa tokea mmetolewa Mapinduzi Cup huko Yanga SC hakulaliki na Mashabiki wamekasirika na wanahoji mengi baada ya Kuaminishwa na Wapuuzi Wawili kuwa Yanga SC ya Msimu huu haiachi Kombe lolote lile.
Sasa kwa Kuona kuwa Simba SC imechukua Ubingwa huu wa Mapinduzi Cup na Kesho (Leo) Gumzo litakuwa ni Simba SC tu huku Yanga SC ikizodolewa mmeamua mbadili Upepo na kwamba Kesho mtazungumza na wana Habari ili mumtambulishe Mchezaji wenu mpya wa Zambia Moses Phiri.
Halafu mkimaliza mje na Propaganda Kubwa kuwa mmeipiku Simba SC na muwalazimishe ( kwa kuwapa Pesa za Tajiri yenu GSM ) Watangazaji, Waandishi wa Magazeti na Wachambuzi wa Michezo nchini wampambe na wamzungumzie Mchezaji Moses Phiri ili Kufunika Ubingwa wa Simba SC Mapinduzi Cup na Muwazuge Mashabiki wenu Washamba ( Mambwiga ) wasiendelee Kuhoji kutolewa Kwenu mapema Mapinduzi Cup Nusu Fainali na Azam FC.
Wakati wenyewe tu kwa Kiherehere chenu na Sifa za Kijinga kama si Kipumbavu mliwaahidi hakuna Kombe ambalo hamtalibeba Msimu huu wa 2021 / 2022 kwa Kigezo kwamba Yanga SC ya sasa imesajili vyema na hakuna wa Kumzuia kama siyo Kumsimamisha.
Na tafadhali Uomgozi wa Yanga SC GENTAMYCINE nawaombeni katika hiyo ( hii) Press Conference yenu nliyoiitisha Kesho ( Leo ) pia mkumbuke Kuwaambia na kuwaomba Radhi wana Yanga SC wote kwa Kitendo chenu cha Kuwadanganya na Kuwaaminisha kuwa Kiungo Fundi wa Kizambia Clatous Chota Chama mmeshamalizana nae na anakuja Kuichezea Yanga SC wakati ukeeli ni kwamba ameshamalizana na Simba SC na ndipo atachezea huko pia.
Na najua pia kuwa Kesho mmeitisha Mkutano Wenu na Waandishi wa Habari kwa Mkakati wa Kipropaganda zaidi.
Hakuna asiyejua kuwa tokea mmetolewa Mapinduzi Cup huko Yanga SC hakulaliki na Mashabiki wamekasirika na wanahoji mengi baada ya Kuaminishwa na Wapuuzi Wawili kuwa Yanga SC ya Msimu huu haiachi Kombe lolote lile.
Sasa kwa Kuona kuwa Simba SC imechukua Ubingwa huu wa Mapinduzi Cup na Kesho (Leo) Gumzo litakuwa ni Simba SC tu huku Yanga SC ikizodolewa mmeamua mbadili Upepo na kwamba Kesho mtazungumza na wana Habari ili mumtambulishe Mchezaji wenu mpya wa Zambia Moses Phiri.
Halafu mkimaliza mje na Propaganda Kubwa kuwa mmeipiku Simba SC na muwalazimishe ( kwa kuwapa Pesa za Tajiri yenu GSM ) Watangazaji, Waandishi wa Magazeti na Wachambuzi wa Michezo nchini wampambe na wamzungumzie Mchezaji Moses Phiri ili Kufunika Ubingwa wa Simba SC Mapinduzi Cup na Muwazuge Mashabiki wenu Washamba ( Mambwiga ) wasiendelee Kuhoji kutolewa Kwenu mapema Mapinduzi Cup Nusu Fainali na Azam FC.
Wakati wenyewe tu kwa Kiherehere chenu na Sifa za Kijinga kama si Kipumbavu mliwaahidi hakuna Kombe ambalo hamtalibeba Msimu huu wa 2021 / 2022 kwa Kigezo kwamba Yanga SC ya sasa imesajili vyema na hakuna wa Kumzuia kama siyo Kumsimamisha.
Na tafadhali Uomgozi wa Yanga SC GENTAMYCINE nawaombeni katika hiyo ( hii) Press Conference yenu nliyoiitisha Kesho ( Leo ) pia mkumbuke Kuwaambia na kuwaomba Radhi wana Yanga SC wote kwa Kitendo chenu cha Kuwadanganya na Kuwaaminisha kuwa Kiungo Fundi wa Kizambia Clatous Chota Chama mmeshamalizana nae na anakuja Kuichezea Yanga SC wakati ukeeli ni kwamba ameshamalizana na Simba SC na ndipo atachezea huko pia.