Safi sana Kipa Johora kwa kuwakomesha leo Wanafiki Wakubwa Yanga SC na Kukubali Kufungwa Kiulaini zile Goli 9 za Penati Zanzibar

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,548
108,859
Yaani wameshakudharau kwa kukuletea Kipa Mwenzako Msheli ambayo Kwako bado ni Kinda na hata hakufikii Kiuzoefu halafu muda mwingi huwa hudaki na leo wasivyo na hata na aibu wakata ukawabebe katika Mikwaju ya Penati na Wewe ukawa unaruka Ushahidi tu.

Johora Mola kakulipia Machungu yako.
 
Hatuna shida na makombe madogo.

FB_IMG_16418491297097030.jpg
 
Back
Top Bottom