demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Ukubwa wa Simba SC haujai hata kiganjani ukilinganisha na Yanga SC.
Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.
Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.
Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.
Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.
Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.
Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.
Nasema haya nikimaanisha namna ambayo Yanga ilivyo more influencial kuliko Simba.
Kama Simba ikigomea mechi kuna uwezekano mkubwa sana rungu la kukatwa point likàwashukia kwasababu hawana watu makini wa kutafsiri kanuni za soka kama ilivyo kwa Yanga SC.
Ikumbukwe Derby ya mwisho Yanga aligoma kuingiza timu uwanjani kwa madai ya kanuni zimeyumbishwa.
Yanga iliweza kusimamia msimamo wake na hakuna mbuzi iliyojaribu hata kuwakata alama.
Nina waonya Simba SC ole wenu mkubali kupotoshwa na wataalamu wenu wa kutafsiri kanuni waliosoma Diploma za Online.
Uwanja ni lazima yawepo Mabango Makubwa ya Chapa GSM. Mkigoma kuingiza timu tutawafuata huko huko Mo Arena tukipige cha kirafiki.