Watu Wengi Wanafatilia Mpira na Kuijua Club Ya As Monaco ambayo Hivi Karibuni Imemsajili Ansu Fati Na Kiungo Paul Labile Pogba.
Lakini Hawajui Kuwa Monaco 🇲🇨 ni Nchi ambayo inaongozwa Kifalme , Mji Mkuu Wa Monaco ni Monte Carlo , Ina matajiri Wengi , Huku watu wanaponda Starehe za Hali ya Juu...