Hii TCRA kwa watanzania hatuoni kazi yoyote ya maana inayotufanyia wananchi, imeshindwa kuhakikisha usajiri wa laini za simu unatimiza lengo lake. Mimi ni mmoja kati ya wengi tuliosajiri laini za simu na kupewa namba ya uthibitisho, cha ajabu unajikuta laini imefungwa kwa kukosa usajiri!
Zipo...