Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, mbali na kusababisha vifo, imeathiri barabara 73 na madaraja kwenye mikoa 18 nchini.
Picha: Baadhi ya maeneo yaliyoathiriwa na mvua nchini.
Amesema reli ya Tanga hadi Arusha, na Dar es Salaam hadi...