waziri kombo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Waziri Kombo afanya ziara katika ubalozi wa Tanzania nchini Misri

    𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗞𝗢𝗠𝗕𝗢 𝗔𝗙𝗔𝗡𝗬𝗔 𝗭𝗜𝗔𝗥𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗨𝗕𝗔𝗟𝗢𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗡𝗖𝗛𝗜𝗡𝗜 𝗠𝗜𝗦𝗥𝗜 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo akiambatana na Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Prof. Palamagamba Kabudi wamefanya ziara ya kikazi katika...
  2. H

    Waziri Kombo na Kabudi wakutana na waziri wa mambo ya nje wa shirikisho la Urusi

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Leo tarehe 19 Desemba, 2025, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo kwa pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Palamagamba Kabudi walikutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya...
  3. H

    Waziri Kombo, Kabudi wakutana na Naibu Waziri Mkuu wa Misri, Tanzania yamwagiwa sifa

    𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗞𝗢𝗠𝗕𝗢, 𝗞𝗔𝗕𝗨𝗗𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗡𝗔𝗜𝗕𝗨 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗪𝗔 𝗠𝗜𝗦𝗥𝗜, 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗬𝗔𝗠𝗪𝗔𝗚𝗜𝗪𝗔 𝗦𝗜𝗙𝗔 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Habari, Sanaa Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Prof. Palamagamba Kabudi wamekutana na kufanya...
  4. H

    Waziri Kombo akutana na Jonathan L. Jackson, Mbunge wa Bunge la Wawakilishi la Marekani ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Ndogo ya Afrika ya Bunge hilo

    Katika mwendelezo wa mazungumzo na wadau mbalimbali muhimu katika kukuza uhusiano baina ya Tanzania na Marekani, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki alikutana kwa mazungumzo na Mhe. Jonathan L. Jackson, Mbunge wa Bunge la Wawakilishi...
  5. H

    Waziri Kombo na Prof. Kabudi waitembelea kambi ya taifa stars Misri na kuwakabidhi bendera ya taifa

    𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗞𝗢𝗠𝗕𝗢 𝗡𝗔 𝗣𝗥𝗢𝗙. 𝗞𝗔𝗕𝗨𝗗𝗜 𝗪𝗔𝗜𝗧𝗘𝗠𝗕𝗘𝗟𝗘𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗕𝗜 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗜𝗙𝗔 𝗦𝗧𝗔𝗥𝗦 𝗠𝗜𝗦𝗥𝗜 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗞𝗔𝗕𝗜𝗗𝗛𝗜 𝗕𝗘𝗡𝗗𝗘𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗜𝗙𝗔. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, wameitembelea...
  6. K

    PostGE2025 Waziri Kombo aendelea kukutana na Viongozi na wadau mbalimbali kuimarisha uhusiano wa Tanzania na Marekani

    Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ameendelea kufanya mikutano na Viongozi na wadau mbalimbali muhimu katika kukuza na kuimarisha uhusiano baina ya Tanzania na Marekani. Miongoni mwa Viongozi hao ni Mhe. Dkt. Ronny L. Jackson, Mwanachama...
  7. Ojuolegbha

    Waziri Kombo awasilisha taarifa ya Ufafanuzi kwa Kamati ya CMAG kufuatia maandamano ya tarehe 29 Oktoba 2025

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha taarifa ya ufafanuzi kwa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Madola Wanaosimamia Utekelezaji wa Tunu za Jumuiya hiyo (Commonwealth Ministerial Action Group-CMAG) kufuatia vurugu...
  8. Ojuolegbha

    PostGE2025 Waziri Kombo akutana na Balozi wa India nchini Tanzania Bishwadip Dey

    Waziri Kombo akutana na Balozi wa India nchini Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa India nchini, Mhe. Bishwadip Dey, katika ofisi ndogo za Wizara, jijini Dar es Salaam, tarehe 06...
  9. Ojuolegbha

    PostGE2025 Waziri Kombo akutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania

    Waziri Kombo akutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na kufanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Bw. Andrew Lentz katika ofisi ndogo za Wizara, jijini...
  10. Ojuolegbha

    Waziri Kombo ashiriki siku ya Taifa ya Finland

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki hafla ya maadhimisho ya Miaka 108 ya Jamhuri ya Finland, iliyofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 05 Desemba, 2025. Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Kombo ameipongeza Finland kwa...
  11. D

    PostGE2025 Oneni Wizara ya Mambo ya Nje inavyoandaa nyaraka zake na kukitangaza Kiswahili duniani

    Document ya kiswahili lakini imejaa maneno ya kiingereza; na ikumbukwe huyu Waziri alihojiwa na BBC kiingereza kibovu kama cha nywinywinywi Document ya Wizara lakini menyewe yanadai ni Ubalozi… sijui yamedesa kutoka wapi Na tamko halitaji limeandaliwa na nani. Humo ndani kuna “serikali”...
  12. DuaZaMama

    PostGE2025 Waziri Kombo: Tanzania hatutakufa kwa kukosa fedha za EU

    Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) limepitisha azimio linalopendekeza kusitishwa kwa ufadhili wa fedha za maendeleo kwa Tanzania, likieleza wasiwasi juu ya mazingira ya kisiasa na ukiukaji wa haki za binadamu ulioripotiwa baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025. Uhusiano wa Tanzania na Umoja wa Ulaya...
  13. M

    GE2025 Thabit Kombo: Mpaka sasa hakuna matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mahmoud Thabit Kombo, amekanusha madai ya matumizi ya nguvu kupita kiasi dhidi ya waandamanaji wanaopinga zoezi la Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29. Akizungumza na kituo cha televisheni cha Al-Jazeera siku ya Ijumaa, Waziri Kombo amesema hadi sasa hakuna...
  14. JanguKamaJangu

    Waziri Mahamoud Kombo awalisi nchini Singapore kwa ziara ya Kikazi

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahamoud Thabit Kombo (Mb) amewasili nchini Singapore kwa ziara ya kikazi inayotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 25 -29 Agosti 2025. Akiwa katika ziara hiyo Waziri Kombo atashiriki katika matukio mbalimbali ya kimkakati ikiwemo...
  15. Ojuolegbha

    Waziri Kombo akutana na Makamu wa Rais wa JICA

    Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki amefanya mazungumzo na Bw. Ando Naoki, Makamu wa Rais wa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Japan (JICA) pembezoni mwa Mkutano wa Tisa wa TICAD uliofanyika jijini Yokohama. Mheshimiwa Waziri Kombo...
  16. Ojuolegbha

    Waziri Kombo awasili jijini Yokohama (Japan) kushiriki mkutano wa wakuu wa nchi na serikali wa ticad 9

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amewasili jijini Yokohama, Japan kumwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo...
  17. Ojuolegbha

    Waziri Kombo apokea na kuanzisha Kifimbo cha Mbio za Mfalme wa Uingereza

    Waziri Kombo apokea na kuanzisha Kifimbo cha Mbio za Mfalme wa Uingereza Katika Viwanja vya Michezo vya Jakaya Mrisho Kikwete, Kidongo Chekundu, Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amepokea Kifimbo cha...
  18. Ojuolegbha

    Waziri Kombo ashiriki Maadhimisho ya Miaka 35 ya Uhuru wa Namibia, Atoa Wito wa Umoja kwa Maendeleo ya Afrika

    Waziri Kombo ashiriki Maadhimisho ya Miaka 35 ya Uhuru wa Namibia, Atoa Wito wa Umoja kwa Maendeleo ya Afrika Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki katika Maadhimisho ya Miaka 35 ya Uhuru wa Namibia, ambapo ametoa wito kwa...
  19. Ojuolegbha

    Waziri kombo awahamasisha vijana wa Tanzania kuchochea mabadiliko ya mifumo ya chakula duniani

    WAZIRI KOMBO AWAHAMASISHA VIJANA WA TANZANIA KUCHOCHEA MABADILIKO YA MIFUMO YA CHAKULA DUNIANI Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na vijana viongozi kutoka Tanzania wanaoshiriki katika mageuzi ya mifumo ya chakula kupitia...
  20. Ojuolegbha

    Waziri Kombo asifia mchango wa Africa CDC katika kulinda afya ya Afrika

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefanya ziara katika Makao Makuu ya Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Africa CDC) jijini Addis Ababa, Ethiopia ambapo amepongeza juhudi za taasisi hiyo katika kuboresha afya na...
Back
Top Bottom