wazawa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Best home tutor

    JamiiForums Tanzania Wawekezaji wengi hasa kutoka nje wananyanyasa wazawa Tanzania

    Salama. Wawekezaji wengi hasa kutoka bala la Asia hawa wachina ,wakorea ,Mahindi ni watu ambao wanawanyanyasa sana wazawa kwenye maeneo waliyowaajili. Hawa watu ni hawazingatii kabisa sheria za kazi na wanakuaga na kauli Tata za matusi ,malipo kidogo ,hawana huruma wala utu kwao wanaamini...
  2. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Shigongo: Biashara za Wazawa Kariakoo zinafungwa, tutunge sheria Biashara chini ya Bilioni 50 isifanywe na Wageni

    Katika kikao cha Bunge kilichofanyika leo Mei 22, 2026, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo, ametoa mchango wake kwenye Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa mwaka wa fedha 2025/2026 akiibua kilio cha wafanyabiashara wazawa wa soko kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam...
  3. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Rais Samia afuta vibali vya wawekezaji wageni uchwara wa Madini na kuwapa Vijana wazawa wa BBT Madini

    My Take Pamoja na uamzi huu mzuri wa kuwapatia fursa Vijana wa zawa Vitalu vya Madini lakini Machadema yataanza kutukana hovyo badala ya kupongeza kama Afrika nzima inavyompongeza Rais Samia Kwa uamzi wa kishujaa na kizalendo. https://www.instagram.com/p/DXMc7YtDEjQ/?igsh=YTFkODFzZnhsbGF4
  4. Damaso

    JamiiForums Tanzania Msigwa upo Kimya, Je wageni wanaruhusa ya Kukosoa ila Wazawa haturuhusiwi?

    Unakumbuka ule msemo wa “Wageni wakija nyumbani, watoto mkae kwa kunyamaza na utulivu”? Na ukipewa soda au nyama na mgeni fanya kila unachoweza kusema kuwa umeshiba ili tu usipate kuonekana umekula soda au chakula cha mgeni. Hivi ndivyo inavyoonekana kwenye video moja huko mjini TikTok na...
  5. tpaul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Makonda: Mwakani tunaanzisha ligi ya wazawa tu!

    Waziri wa michezo bwana Paul Makonda amesema kuwa kuanzia mwakani ataanzisha ligi ya wachezaji wa ndani tu kama ilivyokuwa michuano ya Afrika (CHAN) iliyohusisha wachezaji wanaocheza ndani ya Afrika tu. Kwa kuwa michuano hii ya Afrika imefutwa rasmi na CAF, sasa ni wakati muafaka kuifufua kwa...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali ichunguze na kuchukua hatua wanachofanyiwa Wazawa katika Kampuni za ujenzi/barabara/majengo n.k

    Ninaomba mamlaka husika ziangalie kero za Wafanyakazi kwenye baadhi ya kampuni za ujenzi wa barabara nchini. Mimi ni mmoja wa wafanyakazi kwenye kampuni ya ujenzi wa barabara na tunakutana na changamoto zifuatazo: 1. Kufanyishwa kazi nje ya muda uliopangwa kisheria bila kulipwa malipo ya muda...
  7. The mission 2017

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini Viongozi ambao inasemekana sio wazawa, ndo wameonesha wana uchungu na NCHI hii kuliko hawa wazawa?

    Wakuu, Amani iwe NANYI. Nimetafakari kwa kina, Sijapata majibu. Kwa nini hawa viongozi wanao semwa sio wazawa hivyo wapishe nafasi zao, Utendaji kazi wao ulionekana hauna mawaa, Hawana skendo za ufisadi, Matumizi mabaya ya madaraka nk. Ni viongozi ambao wamekua wakikubakika katika jamii hata...
  8. meningitis

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya Wazawa yaliyopewa kazi ya kuchimba makaa ya mawe na NDC

    By Jacob Maganga WAZIRI wa Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji ameshuhudia utiaji saini wa Mikataba ya Uchimbaji wa Makaa ya Mawe kwa wachimbaji wazawa katika Mradi wa mchuchuma baina ya Serikali kupitia Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) pamoja na Makampuni Matano ya wazawa yaliyoshinda...
  9. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Afrika Mashariki utata kazi kwa wageni na wazawa

  10. w0rM

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa Tanzania kuwazuia Wageni kufanya biashara katika sekta 15 wazua mjadala Kikanda, hususan nchini Kenya

    Tanzania imepiga marufuku raia wa kigeni kumiliki na kuendesha biashara ndogondogo, hatua iliyozua wasiwasi na upinzani kutoka nchi jirani ya Kenya. Agizo hilo jipya linakataza wageni kushiriki katika sekta 15 zikiwemo uhamishaji wa pesa kwa njia ya simu, uongozi wa watalii, uchimbaji mdogo wa...
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania Ushindani wa matajiri wakubwa wazawa Tz uwezi kuwapeleka nchi zenye ushindani na bidhaa zao.

    Nilifika dubai kuingia super market kuna friji zimepangana za vinywaji baridi yani kukuta mpaka coca cola inayofanana na maji ya kunywa hipo. Sasa hawa wa kwetu nikafikiria yani friji zilizopangana kama behewa na kila aina ya kampuni wanaweza kupeleka bidhaa zao kushindana ukiachana na mazao.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Usafirishaji: Rais Samia apendelea wazawa

    Usafirishaji: Wazawa chini ya Rais Samia waula Mwaka 2020 jumla ya miradi ya wazawa katika Sekta ya usafirishaji mizigo iliyosajiliwa katika kituo cha uwekezaji ilikua ni 6 huku idadi ya miradi ya wageni ikiwa ni 5, katika kipindi cha uongozi wa Rais Samia miradi ya wazawa kwenye sekta ya...
  13. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya wahandisi wazawa watawezeshwa na watakuwa na uwezo wa kufanya miradi mikubwa

    Nikiwa Rais makampuni ya wahandisi wazawa watawezeshwa, na kutatengwa fedha kwa ajili ya kuwawezesha wahandishi wazawa waweze Kununua vifaa sababu wengi vifaa ni changamoto Wapewe training ya kujenga miradi mikubwa kama treni za umeme, interchange, n.k Watafundishwa wawe na malengo wakubwa...
  14. Kinyungu

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania wazawa hawaanzishi viwanda vikubwa vya uzalishaji kama Wahindi, Waarabu na Wazungu?

    Ukichunguza kwa makini mwenendo wa uwekezaji wa Watanzania wazawa (weusi), kuna swali la msingi ambalo tunapaswa sisi kama wazawa wa nchi hii kujiulizwa kwa ujasiri na kutafuta majibu yenye mantiki ya kijamii, kiuchumi na kihistoria. Swali hili la muhimu linatokana na ukweli kwamba wanaoshikilia...
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania DOWUTA yaitaka Serikali kulinda ajira na Haki za Wafanyakazi Wazawa kwenye uwekezaji wa Bandari na Kampuni ya Adani

    Wakuu! Katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) mwaka huu, viongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Usafirishaji na Huduma za Bandari Tanzania (DOWUTA), kupitia tawi lake la TEAGTL, walijitokeza kwa nguvu kupaza sauti kuhusu mustakabali wa wafanyakazi wazawa...
  16. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Mbunge Masache alia na wataalam wa kigeni kuingilia shughuli za wazawa

    Bungeni Dodoma 📍 May 2, 2025. Katika kuchangia bajeti ya wizara ya madini Mbunge wa lupa Mh Masache Kasaka ameomba serikali kupitia wizara hiyo kuweka utaratibu mzuri wa wataalam wa kigeni kutokuingilia shughuli za wazawa katika maeneo ya uchimbaji na badala yake kufanya yale yaliyowaleta...
  17. Pdidy

    JamiiForums Tanzania KAMA WACHINA WANALIPA KODI ILEILLEE WAZAWA WANALIPA TUNAOMBA SERIKALI MSIWAGUSE HAO N BARAKA ZETU

    USHAURI KWA SERIKALI TYSISIKILIZE HIZI KELELE ZA WAFANYABIASHARA WA KRKOO KAMA WANALIPA KODI ILEILE ILE MNAYOHIITAJI TUNAOMBA HAWA WATU WASISUMBULIWE WAHESHIMIKR KAMA WENGINE HATUWEZI KUNUNUA MALI ZA 8000 LWA 60000. KISA TU KUBADILI MTAA HII N LAANA TUNAOMBAA WATANXANIA WOTEE TUPINGR...
  18. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Chawa wa wawekezaji ni wasaliti kwa wazawa!

    Kuna Kampuni ya Mawasiliano ya simu imejenga MNARA kwenye eneo langu lililopimwa, mjini,Bandari Salama,Wanatumia eneo la 500 Sqm, Kwa malipo ya laki tatu, mkataba ulisainiwa miaka nane ya nyuma, Kimefika kipindi Cha kuhuisha Mkataba,Waswahili wanahakikisha huonani na Mzungu mwenye Kampuni...
  19. Forgotten

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje wageni wanaipenda Tanzania kuliko wazawa?

    Imekuwa kawaida kuona wageni wakiisifia Tanzania kuwa moja ya nchi nzuri kutembelea au kuishi ndani ya bara la Africa. Kiuhalisia kwa wazawa Tanzania siyo kisiwa cha maziwa na asali kama inavyojulikana nje ya mipaka. Tunashuhudia kila mwaka maelfu ya watalii wakiwemo A-list celebrities kutoka...
  20. kagoshima

    JamiiForums Tanzania Yawezekana kuwaacha huru wachina wafungue biashara yoyote ni mkakati wa serikali kuwachangamsha wazawa

    -Nikiwa kongwa wilayani nilienda stationary moja iko hapo karibu na kwa DC. Nilichokutana nacho toka kwa mhudumu ina justify ngozi nyeusi ifundishwe business skills na wageni. Na sasa tuna hawa wachina. -mhudumu stationary unamuomba akupatie bahasha anakunja midomo. . Unamuomba aweke document...
Back
Top Bottom