watanganyika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Watanganyika let alone Watanzania, tusikubali nchi yetu itawaliwe na Rostam Azizi. Huyu ni wa kuja si wetu! Amekuja kuchuma!

    Nitakuwa branded kama mbaguzi, lakini ngoja ukweli usemwe. Polepole jana katuweka mguu sawa! Reject Rostam na washenzi wenzake! Tusikubali kutwaliwa na Rostam. Huyu ni Mkoloni, ngozi nyeupe kama Waingereza, wajerumani and the like! Hawa kawaida yao wana uraia wa nchi nyingi..notablt Canada...
  2. Tuna safari ndefu ngumu na ya hatari watanganyika kujinasua toka kwenye makucha ya wana mtandao

    Nilisema kwenye mada zilizopita kwamba kundi la mtandao ni kubwa na lenye ukwasi wa kueleweka walioupata hapa hapa Tanganyika Hawa ndio wanafaidi keki ya taifa la Tanganyika.. Njia zote kuu za uchumi wamezishikilia wao! Wana sauti na maamuzi kwenye kila kitu.. Huu ni ukweli mchungu na wa...
  3. Ni lini Watanganyika tutakuwa serious na kuungana?

    Hivi mnajua Zanzibar afya ni bure? Lakini bara mtu akifa muhimbili maiti yake Kama inadaiwa inakamatwa? Hivi mnajua Zanzibar chuo kikuu hakuna watu wanakosa mkopo? Hivi mnajua Mzanzibar anaweza kuja Tanganyika mpaka kigoma kule akapata ardhi na kujenga na kununua mashamba ya kilimo? Lakini...
  4. Ujumbe kwa WaTanganyika Tu

    Ufuatao ni ujumbe kwa WaTanganyika tu. Tusambaze kote kote! Na tuwasaidie tafsiri wasioelewa lugha! Ni dakika 2 tu za elimu ambayo hawawezi kupewa na mifumo yetu ya elimu!
  5. Watanganyika wanapenda majungu na udaku. CCM wanetoa notice wao wamefurahi wakidanganyana mambo ambayo hayako kabisa

    Maelfu ya wajumbe walimpitisha Samia na maisha yakaendelea. Kangedere kamoja ambako hakana impact yoyote kwa chama kametoa press jana sijui juzi Leo CCM wametoa notice watanganyika kwakuwa wana utindio mdogo wa ubongo wanazusha mambo ya hovyo. Mimi si mpenzi wa CCM lakini uzushi na majungu...
  6. S

    Naturally, mbwa hutikisa mkia na siyo mkia kumtikisa mbwa. Kulikoni kwenye kaya yetu?

    Mkia wenyewe wala siyo wa asilia, lkn unaonekana kuyatikisa majibwa. Kila mwanafamilia asilia wa kaya hii anajiuliza, kwann mkia huu bandia unatikisa majibwa kiasi hiki? Majibwa haya yatavumilia mtikisiko huu? Mkia huu bandia umekuwa ukitikisa hata majibwa makubwa ambayo yaliaminiwa hapa...
  7. B

    Tulishasema kwamba Tanganyika aikumwaga damu kupata uhuru wake, ila hiyo sio sababu kwamba watanganyika hawawezi kuipigania nchi Yao. Kiko wapi Sasa!!

    Kiko wapi Sasa!!? Mama, mama, sasa anavuliwa nguo mchana kweupe!? Ajabu badala ya kutulia (kuchutama) ili aone anajistiri vipi yeye atatoka mbio kumkimbiza aliemkwapulia nguo. (Namaanisha Sasa taarabu inaandaliwa kuja kumpasha mkimbizi wa nguo) Sasa ataendelea kutoa mipasho au kuua watanganyika...
  8. Watanganyika wamerogwa. Polepole leo hii wanamuona shujaa. Anatetea tumbo lake

    Kipindi cha Jiwe polepole na Bashite na wengine walikuwa mstari wa mbele kutetetea kila aina ya uovu wa kipindi cha Magufuli. Walikuwa wanakula mezani kwa mfalme. Walikuwa na ukwasi wa kutosha. Eti sasa hivi Polepole mzee wa v8 anaupondea utawala wa Rais Samia!!! Hiki ni kituko sana. Sisemi kuwa...
  9. Wazanzibari kimyakimya wafanya maendeleo makubwa wa haraka huku akili za watanganyika zikielekezwa kwa Tundu Lissu, Askofu Gwajima na Luhaga Mpina

    Juzi nimefika Zanzibar nimeshangaa maendeleo ya kasi uwanja wa Ndege wa kisasa na nasikia terminal 2 na terminal 3 zaja. Hali kadhalika juzijuzi kumefanyika mkutano wa wawezekaji katika sekta ya Utalii na siku zijazo ndege za kutoka Ulaya na kwingine zitakuwa zikitua Zanzibar zikileta watalii...
  10. U

    Wito kwa Watanganyika wote wapenda haki: Tum - support Tundu Lissu na CHADEMA kwa kujitoa sadaka/dhabihu kwa ajili ya wokovu/ukombozi wa sisi sote

    Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA ameamua kujitoa mwenyewe sadaka/dhabihu ya mateso kwa ajili ya ukombozi na wokovu wa Watanganyika wote Angekuwa ni mtu anayefanya haya kwa faida binafsi (personal benefits) ili apate vitu vya dunia hii kama fedha, vyeo, majumba, ardhi nk vitokanavyo na dhuluma...
  11. Kama Watanganyika na Wazanzibari hawataki muungano, muungano ni wa nani?

    https://www.youtube.com/watch?v=_6uZjtRfs40 Kuna video nyingi zinazunguka mtandaaoni ambapo Wazanzibari wanasema hawataki muungano na wanataka nchi yao. Wanahoji zilipo hati za muungano. Je, kati ya watanganyika na wazanzibari, nani ananufaika na huu muungano unaonza kuwa mgongano? Je...
  12. Bodi ya Simba yasema walioenda Ikulu kutatua mgogoro wa derby sio viongozi wa Simba

    Kuna mgogoro mkubwa ndani ya management ya Simba, wengi wamekasirishwa na uwakilishi wa Hasan Dalali na Hasan Hasanoo na watu wengine walioonekana sio viongozi wa Simba. Tukumbuke Yanga waliwakilishwa na viongozi sahihi wa club ya Yanga ikiwa ni pamoja na Arafat Haji ambaye ni Makamu wa Rais wa...
  13. H

    Kwanini kila dhuluma dhidi ya watanganyika inasimamiwa na watawala wageni?

    Tanganyika na Zanzibar zilungana nusu, na kutengeneza Tanzania. Ni muungano nusu kwa sababu Zanzibar iligoma kuingia kwenye muungano kamili, iliendelea kuwa na Serikali yake, na inajitambulisha kama ni nchi, na tena yenye mipaka yake. Hoja muhimu hapa, ni kwa nini kila dhuluma kubwa dhidi ya...
  14. C

    Wazanzibar wamejipanga dhidi ya watanganyika, cha kusikitisha watanganyika wenzetu wamekuwa wasaliti dhidi ya watanganyika wenzao

    Kwa Mfumo wa CCM ulivyo na unavyo endeshwa, ni dhahiri kabisa wanaweza kukubali hata ikija ajenda ya nchi kuuzwa na kila kitu kuuzwa na wana CCM wa Tanganyika Wakashangilia kwa kupiga makofi na vigeregere. Na nilicho gundua CCM yenyewe humilikiwa na kundi dogo sana lenye maslahi lakini hawa...
  15. Kwa moto anaopelekewa Msigwa Facebook hadi kafunga comment IG. Hongereni Watanganyika Finyaaaaaa!

    Msemaji wa Serikali amepost kwenye account yake ya Facebook kuwaita waliosema No Reform No Election kwenye show ya jana ya Bilnas Udom ni Walevi. Kwa kweli Watanzania wa Facebook wamempelekea moto vibaya sana. Moto huo umemfanya hadi kafunga comment section kwenye post kama hiyo IG. Hongereni...
  16. Watanganyika kuweni makini na waarabu jifunzeni kwa sudan inavyoangamiah

    Sudan ipo katika vita vya wenyewe kwa wenyewe mwaka wa pili huu watu wanakaribia milion waliokufa kutokana na vita inazidi hata vifo vya Gaza Unajua chanzo? Chanzo kilianzia kwa rais wao bashir aliuza raslimali zote kwa waarabu kwa hiyo uchumi wa sudan Ukawa unashikiliwa na waarabu na...
  17. Kama ni kurogwa Watanganyika wamerogwa na mchawi kafariki katuachia msala huu

    Wakuu habari zenu hapa. Nimekaa na kuwaza na kuangalia mambo yote ya kisiasa yanayo tendeka nchini, nimejikuta napatwa na hasira zinazokaba kabisa kwa maana hili taifa letu hususani Tanganyika watu wake sijui walilishwa nini..? 1. Inasikitisha na kusononesha unaposikiliza kauli za mkuu wa...
  18. Wito :Neno Tanganyika na Watanganyika litumike zaidi ili kuonesha kutokubaliana na Yale yanayoendelea nchini mwetu,

    Katika nyakati hizi ngumu, sauti zetu hazipaswi kuzimwa na woga wala hofu. Wale waliochoshwa na ukandamizaji, mauaji na utekaji unaoendelea nchini mwetu, ni wakati wa kusimama na kusema hapana. Hatutakubali kuona ndugu zetu wakipotea bila sababu, haki kupotoshwa, na sauti za wanyonge kufifia...
  19. K

    Wakenya wameamua kuikomboa Tanganyika ilokaliwa kwa mabavu na Zanzibar huku Watanganyika wenyewe wakishangaa tu

    Watu wazito sana wameingia Tanganyika kutokea Kenya Sitaki kuamini kuwa hawakuwa na barakaza ikulu ya Nairobi serikali ya Kenya inajua yote kuhusiana na wana harakati wake kuanzisha harakati ya kuipinga serikali ya maguvu ya CCM Katika mambo yalioitisha sana serikali ni hili jambo Wanajua...
  20. K

    Hashimu Spunda na mpango kazi wa Rais Samia na CCM kutengeneza upinzani FAKE. Je, Watanganyika watang'amua hili?

    Watanzania ni wajuzi wa mambo ila sio wenye kuchukua maamuzi kwa haraka Watanzania ni wanyonge mno sera Yao ni mwenye nguvu mpishe na hii ndiyo sababu ya CCM na serikali kufanya watakavyo na hawajawahi kukwama. CCM katika kampein yake ya kujibakiza madarakani ikiwezekana hata...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…