Nimejaribu kuisikiliza hotuba ya Rais zaidi ya mara 10, binafsi nasema ni hotuba inayoamsha hisia ngumu kiasi cha kuionea wivu aina yoyote ya siraha .
Yule Maza anapaswa kukutana na mkono usiyovaa gata gloves
Eti wazazi mlishindwaje kuwakataza watoto wenu
Yaani anaamini vipi na wale...