wapalestina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Israel anafanya extermination ya Wapalestina huko Gaza, dunia imenyamaza

    Ukiangalia Al Jazeera news broadcast, kinachofanyika Gaza na Israel, hii ni exterminate war. You clear each and everything in your vicinity, ndicho anachofanya Israel. Dunia imenyamaza, waarabu, waislamu wamenyàmaza. Mungu amenyamaza, dini zingine zimenyamaza. It is very disheartening indeed...
  2. Yoda

    Utawala wa Trump waanza ukamataji wa wageni waungaji mkono wa Wapalestina nchini Marekani

    Huko Marekani kama wewe ni mgeni ukiunga mkono Hamas au Wapalestina hadharani dola inakutia nyavuni na kukurudisha kwenu. Kuna video mojawapo ya ikimuoneysha mwanafunzi aliyejulikana kwa jina la Rumeysa Ozturk kutoka Uturuki anayesoma chuo kikuu cha Tufts ikionyesha maafisa uhamiaji(ICE)...
  3. Just Pray

    Zaidi ya Wapalestina 50,000 wameuawa katika vita vya Gaza

    Makubaliano ya kusitisha mapigano kwa wiki sita yalianza kutekelezwa Januari, lakini Israeli ilianzisha tena mashambulizi yake wiki iliyopita, ambapo mamia ya Wapalestina wameuawa tangu wakati huo. Wizara ya Afya ya Gaza imeripoti kuwa idadi ya Wapalestina waliouawa kwenye vita vinavyoendelea...
  4. Chizi Maarifa

    Israel yaua Wapalestina 34 akiwepo Afisa Mwandamizi wa Hamas na Mkewe

    Kumekucha. Jamaa wapo serious kweli kweli wanapata sababu za kuitwaa Gaza. Na wanatafuta sababu kila mara. Sasa upele umepata mkunaji.
  5. Wakusoma 12

    Kuunga Mkono Mpango wa Kuwahamisha kwa Muda Wapalestina kwa Usalama na Ustawi wa Kibinadamu

    Katika muktadha wa mgogoro unaoendelea Mashariki ya Kati, hasa kati ya Israeli na Palestina, suala la ulinzi wa raia limekuwa muhimu sana. Ili kuepusha vifo na madhara zaidi kwa watu wasio na hatia, mpango wa kuwahamisha kwa muda Wapalestina kutoka maeneo yenye vita unapaswa kuungwa mkono kama...
  6. MK254

    Misri yakubali kuchukua Wapalestina 500,000 sasa bado Somalia na kwingine

    Hii Misri iliyokua imegoma kuchukua hao watu imenywea kwa Trump, maana Trump alisema pale Gaza anataka kupafanya safi na kubadilisha matumizi yake..... Magaidi wa uislamu akina HAMAS wanaenda kufutwa ======================= Egyptian President Abdel Fattah El-Sisi said that his country was ready...
  7. Echolima1

    Hama hama kwa Wapalestina imeanza tena majeshi ya israel yametoa vipeperushi kuwaonya

    IDF imedondosha vipeperushi mashariki mwa Shajaiyah (kaskazini mwa Gaza), ikiwataka wakaazi kuhama: "Uko katika eneo hatari la mapigano Ondoka mara moja na ukae mbali iwezekanavyo."
  8. Fbn

    Kwa nini nchi za waarabu na waislamu hawataki kuwapokea wapalestina mpaka wanaomba afrika mashariki tuwapokee.Inamaana wanajua vizuri

    Kuna tetesi ambazo USA wanataka kuwaondoa wapalestina kutoka gaza lakini kwa jicho la mbali kama nchi ambazo zilikuwa bega kwa bega zijaonesha nia ya kuwa nao mfano iran. Hapa kwetu tumejaa na watawala wenye kupenda pesa na mali wanaweza kukubali na kwa nini wakasema afrika mashariki au...
  9. Kingsmann

    Marekani na Israel wameziomba Nchi za Afrika Mashariki zikubali kuwapokea Wapalestina wa Gaza

    Kulingana na gazeti la Financial Times, inasemekana Marekani na Israel wamewasiliana na viongozi wa Afrika Mashariki kuomba kuwahamishia Afrika Mashariki Wapalestina wote waishio Gaza.
  10. Kijakazi

    Wapalestina kuhamishiwa a.mashariki-Trump plans!

    according to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan. gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
  11. U

    Marekani na Israel zapendekeza Wapalestina watakaohamishwa kutoka gaza waende kuishi somalia, Sudan na somaliland, mawasiliano yanaendelea kufanywa

    Wadau hamjamboni nyote Taarifa mpya kabisa juhudi zaendelea kutekeleza mpango wa Marekani kuhamisha Wapalestina kutoka gaza Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: Advertisement Israel and US said in contact with Sudan, Somalia about resettling Gazans Officials say approaches also made to...
  12. Mlaleo

    Uongo unaoenezwa na Mashabiki wa Arabs na Fanatic Muslims umeharibu hadi kizazi cha Wapalestina wamekuwa nao waongo mbele ya Camera - Ni Aibu sana

    Video za Wanaojiita Wapalestina zinasikitisha full Taqiyya yaai unasikiliza unaishia kucheka.. vijana hadi wazee so hawa jamaa nadhani wana chuki za Asili sababu ya wizi wa ardhi... https://www.youtube.com/watch?v=YHROSSEMzmY https://www.youtube.com/watch?v=Rx6yIeqvh8o...
  13. U

    Rais wa Lebanon amwambia Spika wa Bunge la Iran: Tumelipa gharama kubwa kuwatetea Wapalestina na hivyo tumechoka na vita vya nchi nyingine!

    Wadau hamjamboni nyote? Lebanon imechoshwa na vita vya nchi nyingine Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: February 23, 2025 Lebanese president tells Iranian parliament speaker: Country is ‘tired of others’ wars’ Lebanese President Joseph Aoun tells Iranian Parliament Speaker Mohammad...
  14. sanalii

    Myahudi awapiga risasi wayahudi wenzie huko miami akidhani ni wapalestina

    Hii habari hutaisikia ikipewa kipaombele au ikivuma, Iko hivi, myahudi aitwae Mordechai Brafman huko Miami marekani amepewamiminia risasi wayahudi wawili akidhan ni wapalestina, baada ya majeruhi hao kupelekwa Hospitali, wali tweets wakisema ni anti-semitic attack na kumaliza kusema "Death to...
  15. sanalii

    Naanza maombi maalum kwa dhulma wanazofanyiwa wapalestina

    Naamini Mungu aliehai, mmiliki wa kila kitu, alpha na omega, yeye atamkae kikawa, bas naamini anamajibu yote, naamini atawafuta machozi waja wake hawa wanaoteseka na kuonewa. Maombi haya pia yakawaadhibu wale wote wanaochangia maumivu na dhulma hii, yakianza na Trump na Netanyahu. Mungu...
  16. R

    Mfalme wa Jordan kaenda white house kamuunga mkono Trump kuwahamisha wapalestina, Misri na nchi nyingine kukutana Saudi Arabia kusuka mpango kazi

    Mfalme Abdullah wa Jordan na Mwanawe Wamtembelea Trump Ikulu Mfalme Abdullah wa Jordan na mwanawe wametembelea Ikulu ya White House kwa mazungumzo na Rais wa Marekani, Donald Trump. Mkutano huo uliangazia juhudi zinazoendelea za kubadilisha mwelekeo wa Mashariki ya Kati, hasa kuhusu uhamishaji...
  17. Waufukweni

    Trump atishia kukata misaada kwa Misri ikiwa haitapokea Wapalestina

    Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kukata misaada kwa Egypt ikiwa hawatakubali kuwakaribisha Wapalestina kutoka Gaza. Trump anataka Marekani inunue na kuimiliki Gaza. Egypt ilipokea msaada wa dola bilioni 1.3 kutoka Marekani mwaka 2024 na dola bilioni 1.5 mwaka 2023, na kuifanya kuwa moja...
  18. Carlos The Jackal

    Rais Trump kuwahamisha Wapalestina ili kuijenga Upya Gaza? Ntetanyahu amuunga Mkono Trump !!

    Hiyo inaitwa danganya toto, tunawahamisha Wapalestina Kwa Muda, wanaenda Saudia ili tuwajengee kagaza kazuuuuuuri katamuuu kana maghorofa ya kunesanesa ,viwanja vikali , kagaza kama Paris vile , alafu mtarudi baadae eehhh sawa Wapalestina 🤣🤣🤣 Hamrudi Ng'ooooo , ndo itakua imeishaa !! The...
  19. hamis77

    Je, Misri na Jordan watawapokea Wapalestina?

    Watawapokea Wapalestina wa Gaza Wa kwanza ni Abdel Fattah El-Sisi, rais wa Misri, na wa pili ni Abdullah II, mfalme wa Jordan Hawa jamaa ni pro west na pro Israeli. Walipokea misaada ya kutosha toka Marekani sasa na wao ni wakati wa kulipa. Wametakiwa kuwapokea wana Gaza milioni 1.5 ili...
  20. sanalii

    Trump na Netanyahu wataondoka hapa duniani watawaacha Wapalestina Gaza

    Hawa magaidi wawili wanapanga openly kua wawahamishe watu gaza ili wajenge wachukue wao eneo. Baada ya kuwaua, sasa wanataka kuwaondoa, ila ukweli ni kua watashindwa. Na ni aibu hasa kwa wanaoshabikia haya yanayowakuta wapalestina. May cowards get 10 times of suffering of Palestinians, may...
Back
Top Bottom