Aliyekuwa mwanakandarasi wa usalama wa maeneo mapya yenye utata ya ugawaji chakula yenye kuungwa mkono na Israel- na Marekani ameambia BBC kwamba alishuhudia wenzake wakiwafyatulia risasi Wapalestina wenye njaa mara kadhaa ambao hawakuwa tishio kwa namna yoyote ile, ikiwa ni pamoja na utumiaji...
Takriban Wapalestina 18 wameuawa baada ya shambulio la ndege zisizo na rubani za Israel kulenga kitengo cha polisi cha Hamas kilichojaribu kudhibiti soko katika mji wa Deir al-Balah katikati mwa Gaza, madaktari wameiambia BBC.
Walioshuhudia tukio hilo walisema ndege zisizo na rubani za Israel...
Polisi wa magaidi wa Hamas waliokuwa wanawazuia watu kwenda kwenye vituo vya kugawia chakula wameuwawa baada ya kulengwa na majeshi ya Israel walipokuwa wakiwazuia raia wasichukue chakula ili kudhoofisha juhudi mpya za ugawaji misaada kwa raia wa Gaza ambao hautawahusisha magaidi wa Hamas moja...
Balozi wa Marekani nchini Israel Mike Huckabee anasema "haifai" kwa Ufaransa, au mtu mwingine yeyote, kulazimisha "taifa la Palestina" kwa wakati huu ambapo Israel watu wake 1,200 waliuwawa na wengine kutekwa nyara na magaidi wa Hamas
Aliongeza kuwa ikiwa Wafaransa wana huruma sana juu ya...
Waarabu Wanaendelea kufanya Maigizo Wanaonyesha video au taswira ya mtoto MMOJA aliye na ugonjwa wa Genetic ambao kwa kawaida huenea kwa watu walio na uzao wa uzazi mmoja au uko mmoja kama vile Cystic Fibrosis, na wanasema "ana njaa kwa sababu ya Wayahudi" kuzuia chakula huko Gaza wakati siyo...
Wadau hamjamboni nyote?
The Trump administration is working on a plan to permanently relocate as much as one million Palestinians from the Gaza Strip to Libya, NBC News reports, citing five people with knowledge of the matter.
The plan is under serious enough consideration that the US has...
Ndege kutoka Abu Dhabi ilitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Ramon huko Eilat Israel kuchukua Wagaza 600 kama sehemu ya mradi wa uhamiaji wa hiari.
Gaza wanatakiwa wabakie Magaidi tu ili wafyekwe vizuri!!
Huwa nasoma na kuchanganyikiwa. Watu wamegeuka mazwazwa hadi kushabikia uovu na uuaji! Japo siyo shabiki wa siasa za mashariki ya kati kwa sababu ni mambo yao, kinachoendelea Palestina kinaudhi na kuigeuza dunia sehemu ya wanyama.
Mataifa yanayojifanya kupigania na kulinda haki za binadamu...
Wadau hamjamboni nyote?
Huu ni ushauri wa bure kabisa kwa ndugu zetu Wapalestina na waarabu kwa ujumla wao
Njia pekee ya kumaliza vita Mashariki ya kati na kuishi kwa amani ni kutambua na kukubali kuwa Mayahudi ni taifa teule lenye baraka zote za Mungu
Watambue kuwa kushindana na wsteule hao...
Niliweka humu uzi wa kugawa milioni 1 ikiwa kuna mtu atataja hata kiongozi mmoja tu wa kiarabu aliewahi kuongoza nchi inayoitwa palestina (kama ilikuwepo) hakuna hata moja kaweza
Watu waliojaribu kwa mbali wamemtaja “Haj Amin al-Husayni” Hata hivyo huyu hakuwa kiongozi wa kitaifa wa Palestina...
Wanaukumbi.
NNA - Katibu Mkuu wa Amnesty International Agnes Callamard alithibitisha Jumanne kwamba vikosi vya Israel vinafanya mauaji ya halaiki kwenye televisheni ya moja kwa moja katika Ukanda wa Gaza.
Callamar aliongeza katika ripoti yake: "Amnesty International imeandika mauaji ya halaiki...
BREAKING: Takriban watu 36,000 wa Gaza wameukimbia utawala wa Hamas tangu vita vilipoanza - wakiepuka kuingia wa kwenye ugaidi, machafuko, na kukata tamaa.
Hamas wanajaribu sana kuwazuia wasitoke Gaza kwa sababu inaamini bila kuwafanya raia kuwa kinga basi Itak osa umaarufu na Inaweza...
Nilikuwa naongea na rafiki yangu yupo Kariakoo kuhusu kupigwa Kwa wanachadema waliokwenda kuhudhuria kesi ya Lissu kwenye mahakama ya Kisutu.
Jamaa yangu huyo akaniambia CHADEMA wamejitakia kupigwa. Nilipomwambia wanachofanyiwa CHADEMA ni kama wanachofanyiwa wapalestina na Israel, akachachama...
Makundi ya wapalestina wakiwemo Hamas wamesikitishw sana na matamshi ya mzee Mahmoud Abbas ambapo alitukana matusi mabaya na kwa kujisahau katika kazi zake.
Bila kumrudishia matusi wapalestina hao wamemkumbusha kuwa jukumu la kupigania uhurua wao halitobadilika kwa vile tu wanauliwa sana au...
Serikali mpya ya Syria imeamua kuwatumia PIJ kikundi cha Kigaidi kilichokuwa kinafanya Shughuli zake nchini humo sasa, waende Iraq na Iran na huko walete laana
https://x.com/xumas_iq/status/1914553355235471450
Chanzo chake ni hivi
Wakati mapinduzi ya Syria yaanaza, Hamas na Wapalestina wengi...
Mamia kadhaa zaidi ya watu wa Gaza wamehamia ughaibuni kimya kimya wengi wao wameenda Indonesia 🇮🇩
Israel inafanya kila iwezalo kuwezesha maono ya Rais Trump kuhusu Gaza kuna wajinga wengine wanasema hilo haliwezekani wakati sasa hivi linatekelezwa!!
Nchi zilizochukua wahamiaji wa hivi...
Hii ni hotuba ya Sheikh wa Palestina Issam Amira akihutubia katika Msikiti wa Al-Aqsa.
Hotuba hiyo ilipata ukosoaji na shutuma nyingi katika ulimwengu wa Kiarabu kwa sababu ukweli unauma... lakini ukweli ni mmoja tu na lazima wakabiliane na ukweli kila mahali- Wapalestina hawana haki ya...
Kasi ya kuuliwa wapalestina na kuvunjiwa utu wao imeongezeka sana huko Gaza.
Kazi hiyo kwa sasa imekuwa nyepesi kwa mayahudi kuifanya kwani Hamas ambao ndio waliokuwa watetezi wamedhoofika sana.Sambamba na hali hiyo ule mori wa kuua na kuharibu umeongezeka kwa Israel kama inavyokuwa kwa mtu...
Ifike pahala,eitha tukubaliane kwamba, Mungu huyo kaishiwa upendo kwa watu wake na ama hana nguvu na au huyupo kabisa ila majina yake tu
Mauwaji yanayotokea huko Gaza, ni rahisi kuamini hilo, hasa kwa Wapalestine wenyewe!
Ni rahisi kuwa na maswali mengi moyoni kumhusu huyo mungu
Je, haoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.