Kwanza wamekwishampa uhalali wa kumtambua kuwa yeye ni "Mheshimiwa Rais" halali licha ya waTanzania kutomchagua kwa kura halali.
Mwezi August, 2025 waliomba wakutane naye kujadili maswala muhimu kuhusu uchaguzi wa Oktoba, kakataa kukutana nao kwa kujua nia yao ilikuwa ni kushawishi akubali...