wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Aina nane ya wanawake wanaoweza kukuchelewesha kimaisha

    Ukweli ni mchungu lakini ni muhimu kusemwa. Wanaume wengi mnapoteza muda, pesa, amani na hata ndoto zenu kwa sababu ya kupenda chini & kuchagua mtu asiye sahihi. Kuna wanawake ambao ukijichanyanya nao, badala ya kusonga mbele, maisha yako yanakuwa kama gari lililokwama kwenye tope—hatua moja...
  2. Wanawake wa aina hii watakuchelewesha kimaisha bro amka

    Ukweli ni mchungu lakini ni muhimu kusemwa. Wanaume wengi tunapoteza muda, pesa, amani na hata ndoto zenu kwa sababu ya kupenda chini & kuchagua mtu asiye sahihi. Kuna wanawake ambao ukijichanyanya nao, badala ya kusonga mbele, maisha yako yanakuwa kama gari lililokwama kwenye tope—hatua moja...
  3. Pombe na wanawake huwapotosha wanaume wenye akili

    Naomba tufungue kitabu cha mithali katika biblia: Mithali 31:4–5 3 Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme. 4 Kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo? 5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na...
  4. Wanawake ni jeshi kubwa

    Unapoambiwa wanawake ni jeshi kubwa usihoji ni jeshi lipi, wewe elewa tu kuwa hawa watu ni jeshi kubwa na wakiamua kuvamia kambi hawatishwi na ukubwa wa adui. Wanapambana na majitu na wanawakalisha chini. Hakika Kipenda roho hula nyama mbichi. Ama Mwenyekiti naongopa?
  5. Mtu akisema wanawake wa JF wamezeeka anakuwa amejuaje?

    Najaribu kujiuliza most people , are using Fake I'd . Endapo MTU akasema wanawake wa JF wamezeeka anakuwa amejuaje?. Nachojua wengi waweza wakawa watu wa makamu kutokana na nature ya mtandao huu Ila kuhusu miaka 40-72 sifikirii. Ila kutaja miaka ya wanawake wa JF randomly haijakaa sawa...
  6. N

    Ila wanawake 🤣🤣

    Binti wa zamani Mamndenyi Bi zandile shibela Midekoo Evelyn Salt shoga wenu amelia kisa rafikiye katuma picha akiwa na baba yake
  7. Wanawake na Kuhudumiwa

    Kwa Hivi Sasa katika Jamii kumekua na maongezi au Maneno mengi kuhusu wanawake kuitaji Kuhudumiwa. Kijamii za kiafrika, mwanaume napaswa kuihudumia Familia yako. Na mwanaume unatakiwa kutoa mahari ya kuoa mke na kumtunza/ Kuhudumia. Kwa sasa Hivi Vijana Wengi wanapitia katika hali mbaya ya...
  8. Wanawake wanapambana zaidi hadharani na CCM kuliko wanaume!

    Hii imenishangaza sana, wanawake ndiyo wamekuwa wanapambana na CCM hadharani kwa njia mbali mbali kuliko wanaume. Wanaume kinyume chake ndiyo wanaoongoza kuwatisha watu kuwa wakiipinga CCM watatekwa, watalawitiwa au kuuawa. Nini kinaendelea kwenye hizi harakati za kuipinga CCM hadi wanaume...
  9. Kinachoshangaza ni hawa vijana wa kiume kujishebedua zaidi hata ya wanawake walioalikwa. Iwe jinai kwa sherehe ya aina yoyote yenye maudhui haya

    Generation ya vijana chapati haiwezi koma kama normalization ya namn hii inaendelea katika jamii.
  10. Wanaume wa kikristo walipieni wasichana mahari na siyo kuwalipia wanawake mahari kama mnavyofanya sasa

    Ndugu zangu. Mahari iliwekwa kwaajili ya kulipia wasichana na siyo kulipia wanawake pindi unapotaka kuoa. Ila cha kushangaza utakuta wanaume wengi wa kikristo wanakomaa kulipia wanawake mahari badala ya kulipia wasicha(binti) huku wazazi wa wanawake hao wanakaza kichwa na kutamka mapesa makubwa...
  11. Wanawake waha 🙌🏻wapo unique sana

    Wadau, kama Kuna mtu ame notice hawa wanawake wa Kigoma waha wapo humble sana na pia ni wife material mno
  12. Kuna nchi wanawake wananyanyasika sana

    Kuna nchi wanawake wananyanyasika sana kama Saudi Arabia, Yemen Oman Iran.iraq Afghanistan UAE Qutar n.k.........
  13. Wanawake, wallahi wanajua kuomba pesa, na hawachoki!

    Wanaumeee! Kuweni waagalifu na mifuko yenu! Pita pita zangu huku na huko nimegundua kuwa wanawake wote ni sawa, na Afrika ni moja! Nimeachana na ze chepukoz wa zamani, lakini naona niliyempata ni chepuko kabisa! Ni chepuko la maana lakini mambo ni yale yale! -anataka simu ya tachi, -vocha...
  14. Kwanini wanawake wakizeeka ndo wanakuja jukwaa hili kutafuta wenza?

    Inatia ukakasi MTU ameshazeeka yupo 30s anakuja kutafuta pension sehemu ambayo hakuwahi kufanya kazi. Utasikia Mara ohhh nataka awe mchaMungu , Mara awe mrefu mwenye kipato Are you insane?
  15. Nawapongeza wanawake wote ambao husimama kidete waume wao wanapopitia nyakati ngumu za kiuchumi

    Hakuna hisia kali zinazoathili Hadi MOYO kama mwanaume unapotamani kuisimamia kiuchumi familia yako lakini mfukoni huna hata sumni. Wakati ambapo Kila unachogusa kinakukataa na kukufanyia usaliti mkubwa wa kifedha. Huu ndio wakati wamama wapumbavu wenye kiuchumi kiduchu huanza kutesa waume...
  16. Uzuri wa nabii yusuf (as) ndio wanawake wajikate vidole

    Nadhani hadithi za mitume na manabii zimeongezwa chumvi lengo kuvutia wasomaji tu lakini hakuna uhalisia. Yani kwamba umuone mwanamke mzuri au mwanaume handsome mbaka ujikate vidole kwa mshangao hizo ni fix
  17. Wanawake wanaoenda GYM

    Wakuuu habari za weekend. Ndugu zangu kumekuwa na mawazo potofu wanawake wote WANAOENDA gym wanaliwa. Wakuuu sikatai wanaoliwa wapo hapo ni asilimia 0.01 na wanaliwa na trainer kwa utafiti wangu .Mimi ni mtu wa mazoezi naelewa. Wakuuu nitoe angalizo msicheze na Dem anaenda gym anaweza...
  18. Wanawake watema Cheche: Wanaume wenye Vitambi 'Wananuka' kiukweli Wanawake wengi hatupendi Kuolewa nao

    Msinigombanie kama Mpira wa Kona sijasema Mimi na ukitaka kujua waliosema nenda Mtandao wa Bongo Mjini usikie. Hivi mnadhani akina GENTAMYCINE ambao Kutwa tunachukia kutoka Vitambi kama vyenu hatujui kile tunachokiepuka?
  19. R

    GE2025 Mafunzo yatolewwa kulinda wanasiasa wanawake Mtandaoni

    Taasisi ya Pollicy Data Institute Agosti 15, 2025 imeendesha mafunzo kwa waandishi wa habari nchini Tanzania, yakilenga mbinu za kuandika habari zisizowabagua wanawake, hasa wale wanaojihusisha na siasa. Mafunzo haya ni sehemu ya mradi wa kimataifa unaoitwa Vote Women, unaolenga kuongeza...
  20. Je kuvaa uniform za kubana kwa jeshi la polisi inaruhusiwa?

    Nimeshangaa baada ya kuona video ya huyu afande akivaa uniform uliyombana.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…