Wanandoa, acheni mazoea kwenye tendo la ndoa.
Peaneni kila utamu unaostahili.
Kuna katabia fulani ambacho ni kibaya sana kwa wanandoa, na ndicho kinachoharibu pia mahusiano mazuri kwenye ndoa — kuleteana mazoea, tena kwenye mambo ambayo hayataki mazoea kabisa.
Mfano, kwenye tendo la ndoa...